Seyyed Abbas Araghchi, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran karibuni hivi alifika mjini Jeddah, Saudia kwa ajili ya kushiriki katika kikao cha dharura cha Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Nchi wanachama wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu na kukitaja kikao hicho kuwa mtihani wa kihistoria kwa Umma wa Kiislamu na pengine miongoni mwa fursa chache za kuunda muungano wa kieneo na kimataifa dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel.
BONYEZA HAPA USOME HABARI KAMILI
