Kejeli za matusi ya ubaguzi wa rangi kutoka kwa mjumbe wa kikanda wa Marekani dhidi ya waandishi wa habari wa Lebanon zimezusha wimbi la ukosoaji miongoni mwa watu wengi wanaotembelea mitandao ya kijamii, wakiwemo wanaharakati wanaopinga ukoloni na watu mashuhuri wa Lebanon.
BONYEZA HAPA USOME HABARI KAMILI
