Qatar: Mpira uko katika uwanja wa Israel; Tel Aviv haitaki kufikia mapatanoQatar: Mpira uko katika uwanja wa Israel; Tel Aviv haitaki kufikia mapatano



Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Qatar ameeleza kuwa, hivi sasa mpira uko katika uwanja wa utawala wa Kizayuni wa Israel na inaonekana kuwa Tel Aviv haitaki kufikia makubaliano ya usitishaji vita. Amesema hayo akizungumzia jibu lililotolewa na utawala wa Israel kwa pendekezo la wapatanishi.



BONYEZA HAPA USOME HABARI KAMILI

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *