Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Qatar ameeleza kuwa, hivi sasa mpira uko katika uwanja wa utawala wa Kizayuni wa Israel na inaonekana kuwa Tel Aviv haitaki kufikia makubaliano ya usitishaji vita. Amesema hayo akizungumzia jibu lililotolewa na utawala wa Israel kwa pendekezo la wapatanishi.
BONYEZA HAPA USOME HABARI KAMILI
