Kwa mujibu wa matokeo ya uchunguzi mpya wa maoni uuliyochapishwa Jumatatu wiki hii na Taasisi ya Utafiti ya Agam, Wazayuni walio wengi wanakubaliana kwa kauli moja katika suala la kuhitimishwa vita vya Gaza na kufikia makubaliano ya kina na harakati ya Hamas.
BONYEZA HAPA USOME HABARI KAMILI
