Mkurugenzi wa mawasiliano wa wizara ya afya wa Chad, Tadjadine Mahamat Allamamine, amesema tangu kisa cha kwanza kuorodheshwa katika kambi ya wakimbizi ya Dougui watu 1,016 wameambukizwa kipindupindu na kwamba idadi kubwa ya wakimbizi hao wamesongamana katika kambi zisizo na maji safi ya kunywa wala huduma za afya.

Wanamgambo wa RSF wauwa watu 40 katika kambi ya huko Darfur Kaskazini

Wakimbizi zaidi ya 850,000 wa Sudan waliokimbia vita vya wenyewe kwa wenyewe kati ya jeshi la Sudan na vikosi vyaRSF wanaishi nchini Chad, hii ikiwa ni kwa mujibu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuwahudumia Wakimbizi, UNHCR.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *