Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imezionya Uingereza, Ufaransa na Ujerumani kwamba itasitisha maingiliano yake na shirika la Umoja wa Mataifa la kuratibu masuala ya nyuklia iwapo nchi hizo tatu zitalifanya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa lirejeshe vikwazo dhidi yake.
BONYEZA HAPA USOME HABARI KAMILI
