Jeshi la Yemen limefanikiwa tena kulenga Ben Gurion, uwanja mkubwa wa ndege wa utawala wa Israel, katika operesheni mpya ya kuunga mkono Wapalestina ambayo ilisababisha makaazi ya walowezi haramu kukimbilia kwenye mahandaki huku wakiwa na hofu na wahka.
BONYEZA HAPA USOME HABARI KAMILI
