Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imesema kuwa, wito uliotolewa na Waziri wa Fedha wa Israel mwenye itikadi kali, Bezalel Smotrich, wa kukata maji, umeme na usambazaji wa chakula katika Ukanda wa Gaza ni kukiri wazi sera za utawala huo vamizi za kutenda mauaji ya kimbari dhidi ya watu wa Palestina.
BONYEZA HAPA USOME HABARI KAMILI
