Sehemu muhimu ya ushuru wa Donald Trump wafutiliwa mbali na mahakama ya shirikishoSehemu muhimu ya ushuru wa Donald Trump wafutiliwa mbali na mahakama ya shirikisho

Mahakama ya Rufaa ya shirikisho la Marekani imeamua mnamo siku ya Ijumaa, Agosti 29, kwamba sehemu kubwa ya ushuru wa forodha uliowekwa na Donald Trump haukuwa halali. Rais hawezi kuweka ushuru wa forodha kiholela peke yake. Utekelezaji wa uamuzi huo umesimamishwa hadi mwezi Oktoba. Rais wa Marekani amekata rufaa katika Mahakama ya Juu, ambayo ina majaji wengi wa kihafidhina, ambayo italazimika kuamua. 

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *