🔴HABARI ZA SAA: SAA SITA NA DAKIKA 55, AGOSTI 28, 2025
🔴HABARI ZA SAA: SAA SITA NA DAKIKA 55, AGOSTI 28, 2025
🔴HABARI ZA SAA: SAA SITA NA DAKIKA 55, AGOSTI 28, 2025
Shirika la upelelezi la Marekani FBI limeanzisha uchunguzi dhidi ya kisa cha mtu aliyekuwa na bunduki kuua watoto wawili kanisani kwa kuwapiga risasi. Kisa hicho kimetokea jana Jumatano katika kanisa…
China imesema kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Un, atahudhuria na kukagua gwaride kubwa la kijeshi mjini Beijing Septemba 3, wakati wa kumbukumbu ya miaka 80, tangu kumalizika kwa Vita…
Ziara hiyo ni kwa ajili ya kuhudhuria maadhimisho ya miaka 80 tangu kumalizika Vita vya Pili vya Dunia. Hafla hiyo itamkutanisha Kim pamoja na baadhi ya viongozi wa dunia kwa…
Wengine 38 wamejeruhiwa, majengo kadhaa yakiwemo makaazi ya watu pia yameharibiwa ikiwemo katika mji mkuu Kiev. Maafisa wa Ukraine wamesema hayo leo huku rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky akisema shambulizi…
Makubaliano hayo yamesainiwa mnamo wakati mashambulizi ya wanamgambo nchini Msumbiji yameongezeka huku vikosi vya nchi hizo mbili vikipambana dhidi ya uasi wa muda mrefu wa wanamgambo, kaskazini mwa Msumbiji. Rais…
Mkosoaji mkuu wa serikali ya Kenya Boniface Mwangi ametangaza rasmi kwamba atawania urais katika uchaguzi wa mwaka 2027, akieleza azma ya kuleta kile alichokiita “mwanzo mpya.” Mwanaharakati huyo mwenye umri…
Katika mji wa Tigray, kaskazini mwa Ethiopia, karibu miaka mitatu baada ya kusainiwa kwa mikataba ya Pretoria, Tume ya Uchunguzi kuhusu Mauaji ya Kimbari imeonya juu ya hali ya maisha…
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki Source link
🔴HABARI ZA SAA: SAA TANO NA DAKIKA 55, AGOSTI 28, 2025
Nchini Togo, katika gereza la kiraia la Lomé, Abdoul Aziz Goma, raia wa Ireland mwenye asili ya Togo, ametangaza kuanza kwa mgomo wa kutokula kwa muda usiojulikana siku ya Jumatano,…
Mwanaharakati maarufu wa kutetea haki nchini Kenya Boniface Mwangi ametangaza kwamba atawania urais katika uchaguzi mkuu wa 2027. BONYEZA HAPA USOME HABARI KAMILI
#HABARI: Wanachama wa Chama cha Mapinduzi CCM, tayari wameshafika katika Uwanja wa Tanganyika Packers kwa ajili ya uzinduzi wa Kampeni za Chama kuelekea Uchaguzi Mkuu, Oktoba 2025 #ITVDigital #ITVUpdates #ITVTanzania…
Chanzo cha picha, CCM Saa 5 zilizopita Katika siasa za Chama Cha Mapinduzi (CCM), mojawapo ya maswali ambayo mgombea mwenza wa mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano hutakiwa kujibu ni…
🔴HABARI ZA SAA: SAA NNE NA DAKIKA 55, AGOSTI 28, 2025
Uchunguzi wa maoni uliofanywa na shirika moja katika utawala wa kizayuni wa Israel umefichua kuwa idadi kubwa ya Wayahudi wa Israel wanaamini kwamba hakuna watu wasio na hatia katika Ukanda…
Nchini Kenya, miili mitano mipya ilifukiliwa jana, Jumatano, Agosti 27, huko Kwa Binzaro, kijiji kidogo kwenye pwani ya Kenya, kulingana na shirika la kutetea haki za binadamu la Vocal Africa.…
Chanzo cha picha, Baltasar Ebang Engonga / Facebook Dakika 11 zilizopita Mahakama ya Mkoa wa Bioko nchini Equatorial Guinea imemhukumu Baltasar Ebang Engonga, mkuu wa zamani wa Shirika la Taifa…
#MEZAHURU: Mashindano ya Open Water Mashindano ya kuogelea kwenye mito, maziwa na bahari je yataleta hamasa hadi kupata washindani watakaoshiriki uogeleaji kimataifa?
Chanzo cha picha, getty Maelezo ya picha, Alejandro Garnacho Saa 3 zilizopita Manchester United wako karibu kufikia makubaliano ya dau kati ya pauni milioni 35 na 40 kumuuza winga wa…
Watu wasiopunguwa wanane wameuawa na wengine zaidi ya arobaini kujeruhiwa mjini Kyiv, Ukraine, usiku wa Jumatano kuamkia Alhamisi. Urusi imerusha ndege zisizo na rubani 629 na makombora katika shambulio “kubwa”…
Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa anayehusika na uratibu wa masuala ya kibinadamu ametangaza kuwa baa la njaa lililothibitishwa rasmi katika Ukanda wa Ghaza ni matokeo ya kucheleweshwa kwa…
🔴HABARI ZA SAA: SAA TATU NA DAKIKA 55, AGOSTI 28, 2025
Wakati wa ziara yake mjini Paris siku ya Jumatano, Agosti 27, Rais wa Senegal Bassirou Diomaye Faye amekutana na mwenzake wa Ufaransa Emmanuel Macron katika Ikulu ya Élysée. Amekubaliana naye…
Chanzo cha picha, Getty Images Dakika 23 zilizopita Madaraja ni viunganishi muhimu vya barabara na mito au bahari, na yamekuwa na mchango mkubwa katika kurahisisha usafiri wa watu na bidhaa…
#HABARI: Nishati ni Uchumi vievile nishati ni mwanga, Mataifa makubwa yaliyofanikiwa kiuchumi ni yale yaliyofanikiwa kujitosheleza katika uzalishaji wa nishati. Takwimu zinabainisha kuwa katika kipindi cha miaka 60 ya uhuru…
Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imechapisha taarifa ikiutaja uamuzi wa serikali ya Australia wa kupunguza kiwango cha uhusiano wa kidiplomasia na Iran kuwa kinyume…
#HABARI: Mahakama Kuu ya Tanzania leo inatarajiwa kuanza kusikiliza kesi ya kupinga kuenguliwa kwa mgombea urais wa ACT-Wazalendo, Luhaga Mpina, hatua ambayo inaweza kubadili mwelekeo wa uchaguzi mkuu wa mwaka…
Mwishoni mwa hadhira kuu ya kila wiki siku ya Jumatano, Agosti 27, Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Leo XIV ametoa wito kwa jumuiya ya kimataifa na hasa ameiomba Israel…
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki Source link
🔴KUMEKUCHA KISHINDO:VIJANA NA UWEKEZAJI …AGOSTI 28, 2025
🔴HABARI ZA SAA: SAA MBILI NA DAKIKA 55, AGOSTI 28, 2025
Mtu mwenye silaha amefyatua risasi Jumatano, Agosti 27, katika kanisa moja huko Minneapolis, Minnesota, karibu na shule, na kuua angalau watoto wawili na kuwajeruhi wanafunzi wengine 14 waliokusanyika kwa Misa,…
Waziri wa Ulinzi wa Iran amesifu uwezo wa hali ya juu wa kijeshi wa taifa hili wakati wa vita vya siku 12 vya uchokozi vilivyoanzishwa na Marekani na Israel, akisema…
Chanzo cha picha, Getty Images Maelezo ya picha, Bryan Mbeumo alikosa goli ambalo lingewapa ushindi Manchester United dhidi ya Grimsby Maelezo kuhusu taarifa Author, Adam Millington Nafasi, Mwandishi BBC Sport…
🔴KUMEKUCHA MICHEZO…AGOSTI 28, 2025
Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky ametangaza siku ya Jumatano kwamba wajumbe wa utawala wake watakutana na maafisa wa Marekani mjini New York siku ya Ijumaa kama sehemu ya juhudi za…
Leo ni Alkhamisi tarehe 4 Rabiul Awwal, mwaka 1447 Hijria, inayosadifiana na tarehe 28 Agosti mwaka 2025. BONYEZA HAPA USOME HABARI KAMILI
Watu wenye silaha wamewauwa takriban watu wawili na kuwateka nyara zaidi ya watu 100, wengi wao wakiwa wanawake na watoto, katika shambulio lililotokea katika Jimbo la Zamfara, Nigeria, maafisa wa…
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki Source link
Jeshi la Israel limeendeleza operesheni zake za kijeshi katika Mji wa Gaza, huku ikiwa katika shinikizo kubwa la kuimaliza operesheni hiyo iliyodumu kwa takribani miaka miwili, ambako Umoja wa Mataifa…
Kundi la nchi saba, ikiwa ni pamoja na Marekani, limeliomba Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa siku ya Jumatano kuimarisha kikosi cha kimataifa kilichopewa jukumu la kupambana na ghasia…
Vyama 17 kati ya 18 vimetimiza masharti ya kuanza kampeni za urais kabla ya uchaguzi wa Oktoba 29, 2025 nchini Tanzania. Wagombea walioteuliwa na tume huru ya uchaguzi INEC wamepewa…
Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya serikali ya mpito ya Syria siku ya Jumamosi ilikanusha habari iliyochapishwa kuhusu kukaribia kusainiwa kwa makubaliano ya usalama kati ya Damascus na utawala wa…
Katika mkutano wa Jumatano, wanachama wa baraza hilo wameonya kwamba kutumia njaa kama silaha ya kivita ni kinyume na sheria za kimataifa za kiutu. Wameelezea tahadhari na masikitiko yao makubwa…
🔴KUMEKUCHA:UZINDUZI KAMPENI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU….AGOSTI 28, 2025
#SWALILAKIPIMAJOTO:”Malori yanayosafirisha Makontena ya mizigo ndani na nje ya nchi. Je, Mamlaka zinakagua ili kudhibiti ufungaji wa loki ipasavyo kuepusha majanga?
Chanzo cha picha, CCM Kampeni za Uchaguzi Mkuu wa Tanzania mwaka huu zimeanza rasmi leo, kwa mujibu wa ratiba ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC). Hata hivyo, uchaguzi…
Akilihutubia taifa kwa njia ya video Jumatano usiku, Zelensky amesema Mkuu wa Ofisi ya Rais wa Ukraine, Andriy Yermak na Katibu wa Baraza la Usalama na Ulinzi wa Taifa, Rustem…
🔴MAGAZETI: CCM YALIAMSHA YAANZA NA MIKOA MITATU..AGOSTI 28, 2025