Watu 5 wameuawa kwenye mapigano kati ya Kongo na Wazalendo
Duru za kijeshi zimeeleza kuwa mapigano hayo yalizuka siku ya Jumanne katika mpaka wa Kavimvira, karibu na Uvira. Msemaji wa jeshi la Kongo katika jimbo la Kivu Kusini, Reagan Mbuyi…
Duru za kijeshi zimeeleza kuwa mapigano hayo yalizuka siku ya Jumanne katika mpaka wa Kavimvira, karibu na Uvira. Msemaji wa jeshi la Kongo katika jimbo la Kivu Kusini, Reagan Mbuyi…
Kulingana na barua iliyoonekana na Shirika la Habari la Ufaransa, AFP, nchi hizo zitaunda ”kundi la washirika” kwa ajili ya kusimamia ujumbe huo ambao uliidhinishwa kwa mara ya kwanza na…
Maafisa na viongozi wa eneo hilo wamesema kuwa washambuliaji walikivamia kijiji cha Gamdum Mallam huko Adafka Bukkuyum siku ya Jumamosi, wakiwa wanaendesha pikipiki na kuanza kufyatua hovyo risasi. Mwenyekiti wa…
Msemaji wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa, Antonio Guterres, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, amesema kuhusiana na tangazo rasmi la mgogoro wa baa la njaa huko Gaza, kwamba anaamini…
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema Marekani inahujumu na kukabiliana na Iran kwa sababu inataka taifa hili liwe tiifu kwake, lakini wananchi wa Jamhuri ya…
Vyombo vya habari vya Kizayuni vimeripoti habari ya kufeli jaribio la utawala haramu wa Israel la kumuua Mkuu wa Majeshi ya Yemen, kwa mara ya pili sasa. BONYEZA HAPA USOME…
Najjat Omar28.08.202528 Agosti 2025 Soka la wanawake Zanzibar linakumbwa na changamoto kadhaa zinazozuia ukuaji wake licha ya vipaji vilivyopo visiwani humo. Hali ya uwekezaji duni imeathiri pakubwa ustawi wa wachezaji,…
28.08.202528 Agosti 2025 Magari ya umeme nchini Kenya yanaanza kuchukua nafasi kubwa katika sekta ya usafiri huku juhudi za serikali na kampuni binafsi zikichochea mabadiliko kuelekea nishati jadidifu. Hata hivyo…
SK2 / S02S28.08.202528 Agosti 2025 Urusi imefanya mashambulizi makubwa ya droni na makombora yaliyoulenga mji wa Kyiv ambako takriban watu 14 wameuawa+++Rwanda na Msumbiji zimetia saini makubaliano ya “amani na…
28.08.202528 Agosti 2025 Jeshi la Israel limeendeleza operesheni zake za kijeshi katika Mji wa Gaza // Wanasiasa wa Iraq wanalenga kufanya mageuzi ya sheria inayowahusu wanamgambo walio nje ya udhibiti…
Mkutano wa 9 wa Kimataifa wa Maendeleo ya Afrika, Tokyo International Conference on African Development (TICAD), ulimalizika Ijumaa, Agosti 22 kwa kusainiwa mikataba takriban 300 ya ushirikiano kati ya taasisi…
Sambamba na mashinikizo ya utawala wa Trump dhidi ya India ili ipunguze uhusiano wake na Russia, Waziri wa Mambo ya Nje wa India alisafiri hadi Moscow na kukutana na kufanya…
Leo ni Jumatano tarehe 3 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1447 Hijria sawa na Agosti 27 mwaka 2025. BONYEZA HAPA USOME HABARI KAMILI
Watu wasiopungua 63 wamepoteza maisha kwa ugonjwa wa kipindupindu katika jimbo la Ouaddai mashariki mwa Chad tangu katikati ya mwezi Julai mwaka huu. Taraifa hii imetolewa na Wizara ya Afya…
Zaidi ya mabalozi 200 wa zamani wa Umoja wa Ulaya na maafisa wa ngazi ya juu jana Jumanne waliituhumu Brussels kwa kushindwa kuchukua hatua za kukabiliana na hali mbaya ya…
🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: 27, AGOSTI 2025
Venezuela imetangaza kuwa imepeleka meli za kivita na ndege zisizo na rubani kwenye eneo lake la maji na kufanya doria kwenye ufuo wa pwani ya nchi hiyo ili kukabiliana na…
Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imepinga madai ya utawala haramu wa Israel kwamba umemuua kigaidi Khalil al-Hayya, mmoja wa viongozi waandamizi wa kundi hilo la Muqawama. BONYEZA…
#HABARI: Rais William Ruto ameongoza Wakenya katika Maadhimisho ya kwanza ya siku ya katiba, siku ambayo Wakenya walipiga kura na kupitisha Katiba ya mwaka Katiba ambayo ilitambulika kama moja ya…
Adut Salva Kiir, binti wa Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini ameteuliwa na baba yake kuwa Mjumbe wa Rais Anayehusika na Mipango Maalumu, kazi ambayo awali ilikuwa inafanywa na Makamu…
Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa utawala wa Kizayuni wa Israel amekiri kutengwa na kuzingirwa kisiasa utawala huo katika ngazi za kimataifa. BONYEZA HAPA USOME HABARI KAMILI
🔴TAARIFA YA HABARI AGOSTI 27, 2025 – TUME YATENGUA UTEUZI WA MGOMBEA WA ACT WAZALENDO LUHAGA MPINA
Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kuingia nchini kwa wakaguzi wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA ni uamuzi uliochukuliwa na…
Naibu Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Malaysia amesema kuwa, nchi hiyo itadhibiti na kusimamia vilivyo vitisho au ugaidi wowote unaohusiana na suala la uungaji mkono wa Kuala Lumpur kwa…
#HABARI: Mgombea Ubunge Jimbo la Kigamboni, kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndg. Haran Sanga, amechukua fomu Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) Wilaya ya Kigamboni na kuomba kuteuliwa kuwania…
Ripoti hiyo ya IPC iliyochapishwa Ijumaa iliyopita imesema zaidi ya watu nusu milioni huko Gaza sio tu wamenaswa kwenye baa la njaa, bali pia wanakabiliwa na mateso yatokanayo na kukosa…
#HABARI: Wakulima wa Zao la Tumbaku katika Wilaya ya Namtumbo, mkoani Ruvuma, wametakiwa kuacha tabia ya kuchanganya maji kwenye Tumbaku kwa lengo la kuiongezea uzito na kwamba kitendo hicho kinaharibu…
Mnamo Jumatatu ya wiki hii, Trump alirudia madai kwamba ameumaliza mzozo huo uliodumu kwa miongo kadhaa huku akiielezea Kongo kama taifa la Afrika lililoko gizani. “Nimevimaliza vita saba, vita vilivyokuwa…
#HABARI: Mgombea Ubunge Jimbo la Muleba Kaskazini, mkoani Kagera, Adonis Alfred Bitegeko, amerejesha fomu ya kupeperusha bendela ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa Mwaka 2025 – 2030. #ITVDigital #ITVUpdates #ITVTanzania…
#HABARI: Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC), Bw. Raymond Mndolwa, amewataka watumishi wapya wa NIRC kutumia maarifa na ujuzi walionao ili kufanikisha malengo ya Tume na kuzingatia…
Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (Hamas) imeashiria kuwa, utawala ghasibu wa Israel umekataa kukabidhi maiti 726 za mashahidi wa Kipalestina na kukitaja kitendo hicho kuwa jinai na ukatili…
Wizara hiyo ya mambo ya nje ya Uturuki, imesema taarifa ya Netanyahu kuhusu matukio ya mwaka 1915 ni jaribio la kutumia mikasa ya zamani kwa sababu za kisiasa. Wizara hiyo…
Msemaji wa ikulu ya Kremlin Dmitry Peskov, amesema wana mtazamo mbaya kuhusu mijadala ya uwezekano wa kikosi cha kulinda amani cha Ulaya kama sehemu ya makubaliano ya kumaliza vita vya…
27.08.202527 Agosti 2025 Mtaa wa mabanda wa Kibera ulioko mjini Nairobi umekuwa moja ya nguzo ya ubunifu barani Afrika. Katika mazingira yenye changamoto, wakaazi wa mtaa huo wamekumbatia mradi wa…
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amenukuliwa na televisheni ya taifa akisema hakuna makubaliano ya mwisho yaliyofikiwa kuhusu mfumo mpya wa ushirkiano na Shirika la Kudhibiti Nguvu…
Mkurugenzi wa mawasiliano wa wizara ya afya wa Chad, Tadjadine Mahamat Allamamine, amesema tangu kisa cha kwanza kuorodheshwa katika kambi ya wakimbizi ya Dougui watu 1,016 wameambukizwa kipindupindu na kwamba…
Kwenye hafla maalum iliyofanyika katika jumba la mikutano la kimataifa la KICC, viongozi wa ngazi ya juu walikusanyika kutathmini hali tangu katiba mpya ya Kenya ya 2010 kuanza kufanya kazi.…
Papa Leo ameutoa wito huo siku ya Jumatano wakati akiwahutubia waumini huko Vatican akitaka kusitishwa kwa vita huko Gaza na kuachiliwa kwa mateka wa Israel ambao bado wamesalia mikononi mwa…
Kamanda Mkuu wa Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, Iran haina chaguo jingine isipokuwa kujiimarisha kijeshi na kuwa na nguvu. BONYEZA HAPA USOME HABARI KAMILI
#HABARI: Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Lupa Wilaya ya Chunya Mkoa wa Mbeya Masache Njelu Kasaka amefanikiwa kurudisha Fomu kwenye Ofisi ya Msimamizi Msaidizi wa Tume huru ya Taifa ya…
#HABARI: Zaidi ya wananchi 30 wa Mtaa wa Majengo, Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni mkoani Singida, waliotoa maeneo yao ya mashamba kwa ajili ya kupisha ujenzi wa Trena ya kisasa…
🔴HAPA NA PALE KUTOKA TANGA : AGOSTI 27, 2025 – WANANCHI WAOMBA KUWEKEWA HUDUMA YA MAJI
#HABARI: Mgombea Ubunge wa Jimbo la Missenyi mkoani Kagera, kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Florent Laurent Kyombo, amerejesha fomu ya kupeperusha bendela ya Jimbo hilo katika Uchaguzi Mkuu wa Mwaka…
#HABARI: Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) Kanda Maalumu ya Saadani, kwa kushirikiana na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani, wamefanikiwa kukamata majahazi mawili…
#HABARI: Wananchi na Wanachama wa CCM Jimbo la Maswa Mashariki, wameandamana na mgombea Ubunge wa Jimbo hilo Daktari George Lugomela, kurejesha fomu ya kuwania Ubunge wa Jimbo hilo huku akijipambanua…
Baada ya Mahakama Kuu ya Gauteng mjini Pretoria kuamua kuwa serikali ya Zambia ina haki ya kuusafirisha mwili wa Rais wa zamani Edgar Lungu hadi nchini mwake, familia yake imejaribu…
Tume huru ya taifa ya uchaguzi nchini Tanzania (INEC) imeteua rasmi majina ya wagombea 16 wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 29, 2025.
Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imechapisha taarifa ikiutaja uamuzi wa serikali ya Australia wa kupunguza kiwango cha uhusiano wa kidiplomasia na Iran kuwa kinyume…
Jopo hilo linamjumuisha Profesa Makau Mutua ambaye ndiye mwenyekiti na mratibu mkuu, huku Faith Odhiambo Mony akiwa makamu mwenyekiti. Wengine waliochaguliwa ni pamoja na Kennedy Ogeto, Irungu Houghton, Dkt. Linda…
Duru mpya ya mazungumzo kati ya serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na waasi wa M23 inaendelea katika mji mkuu wa Qatar, Doha. Pande hizo mbili zinatazamia kufikia makubaliano…