Kabila: Safari ya urais hadi hukumu ya kifo DRC
Joseph Kabila alipanda madarakani akiwa na umri wa miaka 29 na kuiongoza DRC kwa karibu miongo miwili. Sasa akiwa uhamishoni na akikabiliwa na mashtaka ya usaliti na kuunga mkono waasi…
Joseph Kabila alipanda madarakani akiwa na umri wa miaka 29 na kuiongoza DRC kwa karibu miongo miwili. Sasa akiwa uhamishoni na akikabiliwa na mashtaka ya usaliti na kuunga mkono waasi…
Kulingana na mgombea huyo, endapo CCM itapewa ridhaa ya kuongoza tena, serikali yake itaanza utekelezaji wa mpango wa Bima ya Afya kwa Wote ili kila Mtanzania awe na uhakika wa…
Pendekezo hilo linaweza kubadili mwelekeo kwenye mazungumzo, lakini masuala ya muda mrefu yanamaanisha kufikia amani itakuwa vigumu.
Wananchi na viongozi wa nchi za Kiafrika wamelaani jinai za Israel katika wimbi jipya la kuwaunga mkono Wapalestina.
Jaji wa shirikisho siku ya Jumatatu amezuia mpango wa utawala wa Trump wa kuwafuta kazi mamia ya wafanyakazi katika shirika la utangazaji la Marekani/Sauti ya Amerika (VOA). Katika uamuzi huo…
Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameutaja utaratibu wa Snapback kama jaribio la kuhalalisha vitendo haramu vya nchi za Magharibi.
Abbas Araqchi Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa makubaliano kuhusu utaratibu kwa jina la "Snapback" hayakufikiwa mjini New York kutokana na matakwa ya kupindukia ya Marekani, ikiungwa…
Russsia imesema kuwa jeshi lake linachunguza iwapo Marekani itaikabidhi Ukraine makombora ya meli ya Tomahawk au la kwa ajili ya kutekeleza mashambulizi dhidi yake; hatua ambayo maafisa wa Russia wanasema…
Zaidi ya miaka minane tangu zaidi ya wakimbizi 750,000 waislamu wa kabila la warohingya wakimbie Myanmar kuelekea kwenye kambi kubwa nchini Bangladesh, mgogoro huo bado haujapatiwa suluhisho
Mashirika ya Umoja wa Mataifa yamerejelea wito wao wa kutaka usitishaji wa mapigano wa haraka huko Gaza, eneo la Palestina linalokaliwa kimabavu na Israeli, ili kusaidia kupunguza mateso ya wapalestina,…