DIRA.BZ2 Septemba 2025

Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Rais wa China na mwenzake wa Urusi wameikosoa mitazamo ya nchi za Magharibi wakati wa mkutano wa kilele wa Jumuiya ya SCO / Kansela wa Ujerumani Friedrich Merz ameamua kuwa msimu unaofuata wa mapukutiko ndiyo wakati sahihi wa kuzishughulikia changamoto za ndani zinazohitaji suluhisho la haraka

https://p.dw.com/p/4zqlj

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *