s

Huku kampeni za Uchaguzi Mkuu wa Tanzania wa Oktoba 2025 zikianza kwa wagombea wa nafasi zote. Wagombea wa nafasi za urais wamejikita kuzinadi ahadi za kitaifa za vyama vyao kwenda wa wafuasi na wapiga kura kwa ujumla.

Katika kueleza ahadi kwa wapiga kura. Kuna wapiga kura wa aina mbili: Wale ambao ni wafuasi wa chama fulani kwa miaka mingi. Aina hii ya wapiga kura mara nyingi hawahitaji hata ahadi, tayari washaamua wao ni wapiga kura wa chama gani.

Kundi la pili, ni wale ambao huwafuatilia wagombea kupitia kampeni zao, husikiliza ahadi za wagombea na kisha hufanya maamuzi kura yao iende kwa mgombea yupi, kulingana na kuvutiwa na ahadi zao.

Makala haya yana lengo la kuzungumzia vyama viwili vikubwa, Chama cha Mapinduzi CCM na Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), kwa upande wa Tanzania bara. Ahadi zao kwa upande wa Zanzibar, ni mjadala wa wakati mwingine.



Source link

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *