Wananchi wa Malawi wanaelekea kwenye vituo vya kupigia kura leo Jumanne katika uchaguzi utakaomchuanisha Rais Lazarus Chakwera na mtangulizi wake Peter Mutharika, huku mfumuko wa bei uliokithiri na uhaba wa mafuta ukizidi kuongeza hasira za wananchi na kuleta uwezekano wa kutoshiriki kwa wingi wananchi kwenye uchaguzi huo.
BONYEZA HAPA KUSOMA HABARI KAMILI
