Zaidi ya watu 800 wafa kwa tetemeko nchini Afghanistan
Kulingana na msemaji wa serikali ya Taliban, tetemeko hilo la ukubwa wa 6.0 katika kipimo cha richta limetokea Jumapili jioni na kuathiri miji kadhaa katika jimbo la Kunar, karibu na…
Kulingana na msemaji wa serikali ya Taliban, tetemeko hilo la ukubwa wa 6.0 katika kipimo cha richta limetokea Jumapili jioni na kuathiri miji kadhaa katika jimbo la Kunar, karibu na…
Vita ya kisiasa sasa rasmi imehamia majukwaani, vyama vikijaribu kuwashawishi wapiga kura katika uchaguzi wa rais, wabunge na madiwani utakaofanyika oktoba 29. Mara baada ya kipyenga cha kampeni kupulizwa, Chama…
Asilimia 86 ya wajumbe 500 wa Jumuiya hiyo waliopiga kura wameunga mkono azimio hilo linalosema “Sera na matendo ya Israel huko Gaza vimefikia kiwango cha kisheria cha mauaji ya kimbari,…
#HABARI: Katika kuboresha utendaji kazi na usimamizi wa masuala ya mipango miji nchini, Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi kupitia Idara ya Maendeleo ya Makazi inaendesha kikao kazi…
Xi amewatolea wito viongozi wa ushirika huo uliojikita kwenye masuala ya usalama kuheshimu usawa na haki na kuepuka fikra za Vita Baridi, ushindani wa makundi na tabia za uonevu. “Kwanza,…
🔴HABARI ZA SAA: SAA SABA NA DAKIKA 55, SEPTEMBA 01, 2025
Mazungumzo haya yanafanyika katikati ya mahusiano yaliyodhoofika kati ya New Delhi na Washington, kufuatia mvutano wa manunuzi ya mafuta ya Urusi. Viongozi hao wawili wamefanya mazungumzo baada ya kuhudhuria kikao…
Andriy Parubiy, spika wa zamani wa bunge na kiongozi mkuu wa vuguvugu la maandamano ya Ukraine ya mwaka 2004 na 2014, aliuawa kwa kupigwa risasi katika mji wa magharibi wa…
Rais wa China Xi Jinping ameahidi kuwa nchi yake itatoa msaada zaidi kwa ajili ya maendeleo bora ya Jumuiya ya ushirikiano wa Shanghai SCO. Ameyasema hayo akiuhutubia mkutano wa 25…
Akizungumza na waandishi wa Habari mapema Jumatatu katika mji mkuu wa Afghanistan, Kabul, msemaji wa serikali ya Taliban nchini humo Zabihullah Mujahid, amesema takriban watu 800 wamekufa, na wengine 2,500…
Miripuko mikubwa na milio ya risasi ilisikika kwenye eneo zima la Jiji la Gaza usiku wa kuamkia Jumatatu (Septemba 1), wakati jeshi la Israel likiendeleza mashambulizi yake kwenye jiji hilo…
Tangu vita viliporitiwa katika nchi jirani ya Somalia haswa eneo la Bula Hawa, idadi ya wakimbizi imekuwa ikiendelea kuongezeka katika jimbo la Mandera. Kulingana na gavana wa jimbo hilo Mohamed…
🔴HABARI ZA SAA: SAA SITA NA DAKIKA 55, SEPTEMBA 01, 2025
#HABARI: Mtuhumiwa mmoja Bwana Moses Mungungulu mkazi wa Halmashauri ya mji Makambako mkoani Njombe amekamatwa na Shirika la Umeme Tanzania-TANESCO mkoani Njombe akihujumu miundombinu ya shirika hilo ikiwemo kuchezea mita…
🔴HABARI ZA SAA: SAA TANO NA DAKIKA 55, SEPTEMBA 01, 2025
Chanzo cha picha, Getty Images 31 Agosti 2025 Liverpool imeibuka na ushindi mwembamba wa bao 1-0 dhidi ya Arsenal katika Anfield, ushindi uliopatikana kupitia mpira wa adhabu wa Dominik Szoboszlai…
#HABARI: Watu wawili wamefariki dunia na mmoja kujeruhiwa baada ya kutokea mlipuko eneo la Kichemuchemu, Kata ya Magomeni, wilayani Bagamoyo Mkoa wa Pwani. Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake…
#HABARI: Chini ya Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, Tanzania itaanza uchimbaji wa uranium katika Wilaya ya Namtumbo, Ruvuma, yenye akiba ya tani milioni…
#UCHAGUZI2025: Mgombea urais Zanzibar, Ameir Hassan Ameir, ameonesha utofauti kwa kutinga na usafiri wa bodaboda kwenda kuchukua fomu ya kuwania urais. #ITVDigital #ITVUpdates #ITVTanzania #Follow @itvtz @radioonetanzania @capitaldigitaltanzania
Nchini Sudan, takriban watu 19 wameuawa katika mashambulizi ya anga huko Darfur. Shambulio lililohusishwa na jeshi la Sudan kwenye kliniki ya Nyala, Darfur Kusini, lilisababisha vifo vya watu kumi na…
🔴HABARI ZA SAA: SAA NNE NA DAKIKA 55, SEPTEMBA 01, 2025
Watu zaidi ya 800 wamefariki na wengine zaidi ya 2,700 wamejeruhiwa mashariki mwa Afghanistan, ambayo imekumbwa usiku na tetemeko la ardhi lenye ukubwa wa 6 lenye ukubwa wa 6 katika…
Takriban watu 622 wamefariki na wengine zaidi ya 1,500 wamejeruhiwa mashariki mwa Afghanistan, ambayo imekumbwa usiku na tetemeko la ardhi lenye ukubwa wa 6 lenye ukubwa wa 6 katika kipimo…
Chanzo cha picha, Getty Images Saa 4 zilizopita Liverpool wamekubaliana ada ya £125m na Newcastle kumsajili Alexander Isak. The Reds watawasilisha ada ya rekodi ya Uingereza itakayofikia £130m. (Telegraph) Aston…
Umoja wa Afrika, umeeleza kuguswa na kuongezeka kwa fedha haramu kwenye bara hilo, fedha ambazo zimetokana na ukwepaji kodi, rushwa, utakatishaji wa fedha, utoroshaji wa mitaji na ufadhili wa ugaidi,…
Chanzo cha picha, Getty Images Maelezo ya picha, Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu, yuko gerezani kwa zaidi ya miezi minne kwa tuhuma za uhaini Saa 3 zilizopita Tangu kurejeshwa kwa…
🔴HABARI ZA SAA: SAA TATU NA DAKIKA 55, SEPTEMBA 01, 2025
#HABARI: Zaidi ya watu 200 wamefariki na mamia ya wengine kujeruhiwa baada ya tetemeko la ardhi lenye kipimo cha 6.0 kugonga eneo la mashariki mwa Afghanistan siku ya Jumapili, kwa…
#MEZAHURU: Kipi kifanyike kuboresha zaidi MISAMAHA YA ADHABU YA KIFORODHA kwa Watanzania? Hebu tupe maoni yako..
Chanzo cha picha, Getty Images Dakika 18 zilizopita Liverpool wamevunja rekodi ya soka ya Uingereza baada ya kufikia makubaliano na Newcastle United kumsajili mshambuliaji wa Kiswidi, Alexander Isak, kwa ada…
🔴HABARI ZA SAA: SAA MBILI NA DAKIKA 55, SEPTEMBA 01, 2025
Chanzo cha picha, David Paul Morris/Bloomberg vÃa Getty Images Maelezo ya picha, Kwa mujibu wa gazeti la Japani la Nikkei Asia, 87% ya wauzaji wa Apple wana mitambo ya uzalishaji…
🔴KUMEKUCHA MICHEZO: MCHUNGAJI ALIYESHIRIKI MARATHONI NDANI YA JOHO AFUNGUKA …SEPTEMBA 01, 2025
🔴KUMEKUCHA MICHEZO: LIGI KUU TANZANIA BARA KUANZA KURINDIMA …SEPTEMBA 01, 2025
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki Source link
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki Source link
🔴KUMEKUCHA: SIASA NA UCHAGUZI – SEPTEMBA 01, 2025
🔴MAGAZETI: MAFISADI WOTE WATANYONGWA / SIMBA HAKUNA KULALA …SEPTEMBA 01, 2025
Chanzo cha picha, Getty Images Msemaji wa kundi la wapiganaji la Hamas, Abu Obeida, ameuawa katika shambulizi la anga katika mji wa Gaza, Israel imesema. Waziri wa Ulinzi wa Israel…
#KIPIMAJOTO: Ombi la Wakulima wa Kokoa Mbeya kutaka kuundwe bodi ya Kudhibiti ubora wa zao hilo kama zilivyo za mazao mengine. Je, Serikali ilitekeleze?
🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI – SEPTEMBA 01, 2025
Marekani inapanga kuwahamisha wakaazi wote wa ukanda wa Gaza na kuchukua udhibiti kamili wa ukanda huo chini ya mpango unaozingatiwa na utawala wa Rais Donald Trump. Taarifa hizo zimeripotiwa jana…
Waasi wa Houthi wamevamia ofisi za mashirika mawili ya misaada ya Umoja wa Mataifa katika mji mkuu wa Yemen, Sanaa, na kuwateka nyara wafanyakazi kadhaa. Taarifa hizo ni kwa mujibu…
Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Un amekagua kiwanda kipya cha utengenezaji wa makombora pamoja na mchakato wa uzalishaji wa silaha hizo kwa kutumia teknolojia ya kisasa, kwa mujibu wa…
Kupitia chapisho kwenye mtandao wa kijamii wa X, Khamenei amesema nchi hizo mbili kutoka pande tofauti za Asia, zina uwezo wa kuleta mabadiliko makubwa ya kikanda na duniani kwa ujumla.…
Kauli hiyo amekuwa akiirudia mara kwa mara tangu kuanza kwa vita hivyo mwaka 2022, na hivi karibuni Zelensky alithibitisha kuwa yuko tayari kwa mazungumzo ya ana kwa ana na Putin…
01.09.20251 Septemba 2025 Ngoma za Njuga ni aina ya ngoma za asili zinazochezwa kwa kuvaa njuga miguuni au mikononi, zikitamba kwa sauti ya kipekee inayochochea furaha, heshima na mdundo wa…
Veronica Natalis 01.09.20251 Septemba 2025 Kwa wanaojifungua kwa mara ya kwanza wakati mwengine wanakuwa na hofu kubwa ya kupitia mchakato mzima wa kujifungua. Wengi wanakuwa na uwoga baaada ya kuwasikia…
SK2 / S02S01.09.20251 Septemba 2025 Idadi ya watu ambao wamefariki nchini Afghanistan kufuatia tetemeko baya la ardhi imeongezeka na kufikia zaidi ya 800+++Rais wa China Xi Jinping ameahidi kuwa nchi…
Sikiliza Taarifa ya Habari za Ulimwengu Asubuhi 01 Septemba 2025 kutoka Idhaa ya Kiswahili ya DW Bonn.