Mtangazo ya Jioni 27.09.2025
Zaidi ya Wapalestina 50 wameuawa Jumamosi katika mashambulizi ya Israel++++Syria yatoa waranti wa kukamatwa kwa Rais wa zamani Bashar Al Assad+++++Raia wa Ushelisheli wapiga kura kuchagua Rais na wabunge++++Iran yasema…
Zaidi ya Wapalestina 50 wameuawa Jumamosi katika mashambulizi ya Israel++++Syria yatoa waranti wa kukamatwa kwa Rais wa zamani Bashar Al Assad+++++Raia wa Ushelisheli wapiga kura kuchagua Rais na wabunge++++Iran yasema…
Mashambulizi ya Israel yamewaua zaidi ya watu 30 Ukanda wa Gaza++++Mali yalaani shambulio la Algeria dhidi ya droni yake mbele ya UN+++Droni za Ukraine zashambulia miundombinu ya mafuta Urusi++++Ujerumani yataka…
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers muda wote bonyeza hapa
π‘ YANGA SC β Player Ratings (0β10) Mchezaji Nafasi Rating Sababu Djigui Diarra GK 8.5 Alifanya kuokoa kwa ubora, hakuruhusu goli lolote. Shomari Kapombe RB 7.5 Alisaidia mashambulizi na kulinda…
π CAF Champions League β Raundi ya Kwanza (Mchezo wa Kwanza) π Uwanja: EstΓ‘dio Nacional de Ombaka, Benguela β Angolaπ Tarehe: 20 Septemba 2025β½ Matokeo: Wiliete SC 0 β 3…
π§ Changamoto, Mikakati & Mvuto wa Mchezo 1. Makala ya awali / mechi ya kwanza 2. Mbinu za kushambulia na kujilinda 3. Ulinganishaji wa viungo & ubora wa kikosi 4.…
β½ Hali ya Timu kwa Sasa π Mambo ya Kuzingatia π§ Utabiri wa Mechi Kwa hali ilivyo sasa, Yanga SC wana nafasi kubwa ya kushinda tena. π Asilimia za Matokeo…
Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu, leo ameyashtumu vikali mataifa ya Magharibi kwa kulitambua taifa la Palestina.
Belarus imewasilisha leo pendekezo la kujenga kiwanda cha pili cha nyuklia chenye uwezo wa kusambaza nishati kwa maeneo ya Ukraine yanayokaliwa na Urusi.
Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu ameliambia Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa hii leo kwamba Israel ni "lazima imalize kazi yake" iliyoianza ya kulitokomeza kundi la Hamas huko Ukanda…
UN yaongeza takriban makampuni 70 zaidi kwenye orodha nyeusi ya makampuni kutoka nchi 11 inayodai yanashiriki kukiuka haki za binadamu za Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi kupitia uhusiano wa kibiashara.
Polisi ya kimataifa, Interpol, imesema leo kuwa msako unaoratibiwa na shirika hilo dhidi ya uhalifu wa mtandaoni, umesababisha kukamatwa kwa washukiwa 260 katika nchi 14 za Afrika.
Zaidi ya kampuni 150 za ndani na nje ya Israel zimeshutumiwa na Kamisheni ya Haki za Binaadamu ya Umoja wa Mataifa kwa kuhusika na kile unachosema Umoja huo kuwa ni…
Katika mkutano wa kila mwaka wa viongozi wa dunia kwenye Umoja wa Mataifa, nchi kuu na mashirika ya kikanda yamekuwa yakiratibu juhudi za kumaliza vita walivyovitaja kama vya kutisha nchini…
Ripoti ya hivi karibuni inayoungwa mkono na Umoja wa Mataifa inaonyesha kuwa watoto wako katika hatari ya kufa Sudan Kusini, kutokana na baa la njaa linalochochewa na hatua ya kupunguzwa…
Nchi ya Qatar, imetangaza kujitolea kwake kuhakikisha amani inarejea mashariki mwa DRC, na kanda nzima ya nchi za maziwa makuu. Imechapishwa: 26/09/2025 – 16:33Imehaririwa: 26/09/2025 – 16:37 Dakika 1 Wakati…
Jiji kuu la Madagascar, Antananarivo, limesalia mahame baada ya maandamano makubwa ya Alhamisi ya wiki hii yaliyoshuhudia vurugu, ambapo raia walijitokeza barabarani kupinga mgao wa umeme wa mara kwa mara…
Mkuu wa tume ya haki za binadamu ya umoja wa Mataifa, ameonya kuwa nchi ya Sudan Kusini inaelekea kutumbukia katika machafuko mapya, wakati huu watu Zaidi ya elfu 2 wakiripotiwa…
Wakati huu kikao cha umoja wa Mataifa kikiendelea jijini New York, Marekani, nyuma ya pazia juhudi za kumaliza vita ya Sudan zimeshika kasi, wakati huu mzozo wa nchi hiyo ukisababisha…
Syria inajiandaa kufanya uchaguzi wake wa kwanza wa bunge baada ya kuangushwa utawala wa kidikteta wa zaidi ya miongo minne na vita vya wenyewe kwa wenyewe.
Utafiti wa Taasisi ya Kitaifa ya Utafiti wa Tiba Kenya (KEMRI) kwa ushirikiano na wanasayansi wa kimataifa umebaini kuwa mabadiliko ya tabianchi yamesababisha kubadilika kwa tabia za mbu aina ya…
Hivi karibuni Mahakama Kuu ya Afrika Kusini iliandika historia mpya kwa kutoa uamuzi wa kihistoria unaowaruhusu wanaume kutumia jina la ukoo la wake zao, hatua ambayo imeibua mjadala mkubwa barani…
Mjini Pritoria wakaazi wakiwa wana zana za kuchomea nyama wamejitokeza kuvunja rekodi ya dunia ya japan ya watu 2,220. Lakini zaidi ya shindano hilo kuna ufahari ndani yake- Kwani wengi…
Rais Masoud Pezeshkian amesema kuwa Iran iko tayari kikamilifu kwa hali yoyote endapo nchi za Ulaya zitaendelea na hatua ya kurejesha vikwazo vya Umoja wa Mataifa kupitia kile kinachoitwa utaratibu…
Rais wa Bolivia, Luis Arce, amekemea vikali Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kusababisha maumivu na vifo duniani kote na βkutekeleza mauaji ya kimbariβ katika Ukanda wa Gaza…
Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Msaada kwa Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA), Philippe Lazzarini, ametoa onyo kali kuhusu hali ya kibinadamu ya Gaza kiasi kwamba Wapalestina wanafadhilisha kufa…
Waziri Mkuu wa Sudan, Kamil Idris, siku ya Alhamisi ameitaka jumuiya ya kimataifa na Umoja wa Mataifa kulitambua kundi la waasi la RSF nchini humo kama βkundi la kigaidi.β
Jiji la Tehran wiki hii ni mwenyeji wa ELECOMP 2025, maonyesho makubwa na yenye ushawishi mkubwa zaidi nchini Iran yanayohusu teknolojia za elektroniki, kompyuta, na biashara kwa njia ya mtandao…
Tangu alipoibuka kama rais wa mrengo wa kulia, Sarkozy ameshawishika kuwa analengwa na watu wa mrengo wa kushoto ndani ya mahakama na vyombo vya habari vya Ufaransa.
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amesema vita vya miongo miwili vilivyoendeshwa na Marekani ni chanzo cha migogoro ya sasa ya Afghanistan, huku akionya kuwa kurejea kwa…
Ukraine imeendeleza mashambulizi yake ya kimfumo dhidi ya sekta ya mafuta ya Urusi ikilenga kiwanda cha kusafisha mafuta katika eneo la kusini. Haya ni kulingana na mamlaka ya Urusi.
Watu wapatao tisa wameuawa kwenye mashambulizi ya Israeli katika mji mkuu wa Yemen, Sanaa. Watu wengine zaidi ya 170 wamejeruhiwa kwenye mashambulizi hayo.
Mkuu wa baraza la mpito la urais nchini Haiti Laurent Saint-Cyr, ameyaomba mataifa ya dunia kuisaidia nchi yake kukabiliana na kile alichokitaja kuwa vita dhidi ya ghasia za magenge na…
Utawala wa kijeshi nchini Mali umetangaza kusitishwa kwa ushirikiano wa kukabiliana na ugaidi na Ufaransa na umewafukuza wafanyakazi watano wa ubalozi wa Ufaransa nchini Mali.
Umoja wa Ulaya utafanya mazungumzo ya kwanza yanayolenga kuja na pendekezo la kujenga mfumo wa kuzuia droni. Hii ni baada ya uvamizi wa droni za Urusi kwenye anga za wanachama…
Shinikizo la kimataifa dhidi ya Israel inayoendesha vita vyake vinavyoelezwa na wataalamu wa Umoja wa Mataifa kuwa mauaji ya kimbari kwenye Ukanda wa Gaza, linazidi kuongezeka.
Kuanza tena meneva ya kijeshi kati ya Uturuki na Misri, sambamba na kupelekewa idadi kubwa ya wanajeshi wa Misri katika Peninsula ya Sinai, kumeutia wasiwasi utawala wa Kizayuni.
Katika ulimwengu huu unaozidi kuwa na mgawanyiko , kuna swali moja ambalo labda linatugawanya zaidi kuliko jingine lolote: Je, huwa unaoga asubuhi au usiku? Au labda wewe ni mmoja wa…
Kuhukumiwa jela kwa miaka mitano rais wa zamani wa Ufaransa Nicholas Sarkozy, baada ya siku ya Alhamisi, kupatikana na kosa la kuwatumia wake wa karibu, kupata ufadhili wa kifedha kwa…
Nchi kadhaa duniani zikiongozwa na Marekani zinapigana vikumbo katika kuiga na kutengeneza nakala za ndege isiyo na rubani ya Shahed ya Iran, ambayo si ghali lakini yenye ufanisi na usahihi…
Tume ya Uchaguzi ya Malawi (MEC) na waangalizi wa kikanda na kimataifa wamesifu uchaguzi wa rais wa Septemba 16 nchini humo na kusema kuwa ulikuwa huru na wa haki.
Duru rasmi za utawala wa Kizayuni wa Israel zimemnukuu mmoja wa maafisa wake wa kijeshi walioendesha operesheni ya kigaidi ya kuishambulia Doha, mji mkuu wa Qatar akikiri kwamba, Tel Aviv…
Jeshi la Algeria limeua magaidi sita wakati wa operesheni ya kukabiliana na ugaidi wiki hii katika mkoa wa Tebessa, yapata kilomita 700 mashariki mwa mji mkuuu, Algiers.
Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina imetoa taarifa mpya na kusema kuwa, Muqawama utaendelea kuwepo madamu ardhi za Palestina zinaendelea kukaliwa kwa mabvu na Wazayuni na imelaani vikali matamshi…
Kisiwa hiki cha tropiki β kilicho mbali kijiografia, na wala sio kisiwa cha paradiso β ni mahali pa nguvu za kijiografia na wanaharakati wa mazingira, pamoja na ushindani wa kisiasa…
Kulingana na serikali ya Korea Kusini, Pyongyang ina uranium iliyorutubishwa ya kutosha kutengeneza mabomu mengi ya atomiki. Seoul ambayo imenukuu wataalamu, imebaini siku ya Alhamisi, Septemba 25, kwamba serikali ya…
Serikali ya Madagascar, kisiwa kilicho katika Bahari ya Hindi, siku ya Alhamisi kimetangaza marufuku ya kutotoka nje usiku kufuatia maandamano makali. Polisi walitumia risasi za mpira na mabomu ya machozi…
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa litapiga kura leo Ijumaa asubuhi juu ya azimio la kuchelewesha kurejeshwa kwa vikwazo vya kimataifa dhidi ya Iran, inayoshutumiwa na Ufaransa, Ujerumani na…
Liverpool mbioni kumshawishi mlinzi wa Ufaransa Ibrahima Konate kusalia nao huku Manchester United ikimfukuzia kiungo wa Barcelona na Uholanzi Frenkie de Jong.
Mahakama kuu ya shirikisho huko Virginia imemfungulia mashtaka Mkurugenzi wa zamani wa FBI James Comey kwa mashtaka mawili yanayohusiana na ushahidi wake kwa Congress. Imechapishwa: 26/09/2025 – 06:08 Dakika 1…