Rais wa Afrika Kusini ataka kushughulikiwa changamoto za kiuchumi duniani
Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini ametoa mwito kwa taasisi za kimataifa kufanya mageuzi ya maana ambayo yatashughulikia changamoto zinazoukabili uchumi wa dunia.
Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini ametoa mwito kwa taasisi za kimataifa kufanya mageuzi ya maana ambayo yatashughulikia changamoto zinazoukabili uchumi wa dunia.
Alikwenda mbele ya kaburi hilo akachutama na kusoma kibao kilichowekwa mbele ya kaburi hilo ambacho kilikuwa na jina la marehemu. “Ndiyo hili hili. Jina lake limeandikwa hapa. Thomas Christopher,” akaniambia.
Afisa upelelezi aliponiuliza hivyo, tulicheka sote. “Ni kama hivyo, lakini huyu mtu inaonekana yupo, kwa sababu alama ya dole anayoiweka katika karatasi anazoziacha kwa marehemu ni yake.” “Kweli, huo ni…
Katika hatua inayoonekana kama kuunga mkono wazi wazi mauaji ya kimbari ya Wapalestina huko Gaza, Marekani imetangaza kuwa itafuta visa ya Rais wa Colombia, Gustavo Petro, kutokana na kauli aliyotoa…
Wajumbe wengi walitoka nje ya ukumbi wa Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa kama ishara ya kupinga hotuba ya Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu, wakati wa kikao cha 80…
Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema sera za rais wa Marekani ziko kwenye mkondo wa kuibua mabadiliko makubwa na vurugu katika eneo lote la Asia ya Magharibi, akionya…
Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Russia zimesaini mkataba wa dola bilioni 25 kwa ajili ya kujenga mitambo minne ya nishati ya nyuklia, kama sehemu ya makubaliano ya muda mrefu…
Meya wa jiji la London, Sadiq Khan, amemjibu kwa ukali Rais wa Marekani Donald Trump, akimtuhumu kuwa “mbaguzi wa rangi, jinsia, wanawake na mwenye chuki dhidi Uislamu” baada ya Trump…
Hali ya dunia leo inabaki changamoto na yenye mabadiliko makali. Umoja wa Mataifa umeanza mjadala wa kihistoria juu ya uwezekano wa kuwa na Katibu Mkuu wa kwanza wa kike baada…
Mashariki ya Kati inaendelea kuwa kitovu cha mivutano ya kisiasa na kijeshi huku juhudi za kutafuta amani zikionekana kupata kasi mpya. Waziri wa Mambo ya Nje wa Umoja wa Falme…
📰 Mpangilio Mpya wa Dunia: Viongozi Wakuu Wapanga Hatima ya Kisiasa, Kiuchumi na Kijeshi Dunia ipo katika kipindi cha mageuzi makubwa huku mataifa makubwa yakichukua hatua muhimu zinazoweza kubadilisha mwelekeo…
Mkataba wa Gaza karibu kufikiwa — TrumpRais Donald Trump ameeleza kwamba makubaliano ya kuimaliza vita huko Gaza yako karibu, ingawa hakutoa maelezo zaidi. RT India yanikana madai ya Mkuu wa…
Kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, raia zaidi ya 100 walitekwa nyara katika mkoa wa Ituri katika shambulio la wanamgambo wa Codeco jioni ya Jumatano, Septemba 24, 2025,…
Kuna wagombea 12 watakaoshiriki katika uchaguzi wa urais wa Oktoba 12, 2025 nchini Cameroon. Miongoni mwao, Rais anayemaliza muda wake Paul Biya, aliye madarakani tangu mwaka 1982, anawania muhula wa…
Nchini Gabon, zaidi ya wapiga kura 900,000 wanaitwa kupiga kura leo Jumamosi, Septemba 27, kwa ajili ya duru ya kwanza ya uchaguzi wa wabunge na duru moja ya uchaguzi wa…
Vuguvugu la maandamano nchini Madagascar limeenea katika miji kadhaa nchini kote siku ya Ijumaa Septemba 26, pamoja na Diego Suarez, ambapo makabiliano makali yaliripotiwa kati ya waandamanaji na vikosi vya…
Kurejeshwa tena kwa vikwazo vya Umoja wa Mataifa dhidi ya Iran siku ya Jumamosi kuhusiana na mpango wake wa nyuklia sasa ni jambo lisiloepukika, kufuatia kukataliwa siku ya Ijumaa, Septemba…
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Sayyid Abbas Araghchi amesisitiza kuwa, juhudi za mataifa matatu ya Ulaya ya Uingereza, Ufaransa, na Ujerumani za kuhuisha vikwazo vya Baraza la Usalama…
Makamu wa Rais wa Tanzania Philip Mpango amesisitiza msimamo wa muda mrefu wa bara la Afrika wa kudai kuwa na angalau viti viwili vya kudumu vyenye kura ya turufu katika…
Waziri mkuu wa zamani wa Uingereza Tony Blair yuko kwenye majadiliano ya kuongoza mamlaka ya mpito katika Ukanda wa Ghaza, ikiwa ni sehemu ya mpango unaoungwa mkono na Marekani wa…
Shirika la Intelijensia na Usalama la Somalia (NISA) limetangaza kuwa limetekeleza operesheni ya mashambulizi iliyowalenga viongozi wa kundi la kigaidi la Al-Shabab na kuua magaidi 24 akiwemo kiongozi wa kundi…
Waziri wa Vita wa Marekani Pete Hegseth, amewaamuru mamia ya majenerali na maadmeri wa Pentagon walioko kila pembe ya dunia kuripoti kwenye kambi ya Marine Corps iliyoko Quantico, Virginia, wiki…
Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia Sergey Lavrov amesema, mgogoro wa Ukraine ulipangwa na nchi za Magharibi kwa sura ya vita dhidi ya Russia vinavyopiganwa na Kiev.
Nchi tatu za Kiafrika zimetangaza kuwa zimehitimisha unachama wao katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC).
Leo ni Jumamosi tarehe 4 Mfunguo Saba Rabiul-Thani 1447 Hijria Qamaria, sawa na tarehe 5 Mehr mwaka 1404 Hijria Shamsia, inayosadifiana na tarehe 27 Septemba 2025 Miladia.
Zaidi ya Wapalestina 50 wameuawa Jumamosi katika mashambulizi ya Israel++++Syria yatoa waranti wa kukamatwa kwa Rais wa zamani Bashar Al Assad+++++Raia wa Ushelisheli wapiga kura kuchagua Rais na wabunge++++Iran yasema…
Mashambulizi ya Israel yamewaua zaidi ya watu 30 Ukanda wa Gaza++++Mali yalaani shambulio la Algeria dhidi ya droni yake mbele ya UN+++Droni za Ukraine zashambulia miundombinu ya mafuta Urusi++++Ujerumani yataka…
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers muda wote bonyeza hapa
🟡 YANGA SC – Player Ratings (0–10) Mchezaji Nafasi Rating Sababu Djigui Diarra GK 8.5 Alifanya kuokoa kwa ubora, hakuruhusu goli lolote. Shomari Kapombe RB 7.5 Alisaidia mashambulizi na kulinda…
🏆 CAF Champions League – Raundi ya Kwanza (Mchezo wa Kwanza) 📍 Uwanja: Estádio Nacional de Ombaka, Benguela – Angola📅 Tarehe: 20 Septemba 2025⚽ Matokeo: Wiliete SC 0 – 3…
🧠 Changamoto, Mikakati & Mvuto wa Mchezo 1. Makala ya awali / mechi ya kwanza 2. Mbinu za kushambulia na kujilinda 3. Ulinganishaji wa viungo & ubora wa kikosi 4.…
⚽ Hali ya Timu kwa Sasa 🔍 Mambo ya Kuzingatia 🧠 Utabiri wa Mechi Kwa hali ilivyo sasa, Yanga SC wana nafasi kubwa ya kushinda tena. 📊 Asilimia za Matokeo…
Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu, leo ameyashtumu vikali mataifa ya Magharibi kwa kulitambua taifa la Palestina.
Belarus imewasilisha leo pendekezo la kujenga kiwanda cha pili cha nyuklia chenye uwezo wa kusambaza nishati kwa maeneo ya Ukraine yanayokaliwa na Urusi.
Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu ameliambia Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa hii leo kwamba Israel ni "lazima imalize kazi yake" iliyoianza ya kulitokomeza kundi la Hamas huko Ukanda…
UN yaongeza takriban makampuni 70 zaidi kwenye orodha nyeusi ya makampuni kutoka nchi 11 inayodai yanashiriki kukiuka haki za binadamu za Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi kupitia uhusiano wa kibiashara.
Polisi ya kimataifa, Interpol, imesema leo kuwa msako unaoratibiwa na shirika hilo dhidi ya uhalifu wa mtandaoni, umesababisha kukamatwa kwa washukiwa 260 katika nchi 14 za Afrika.
Zaidi ya kampuni 150 za ndani na nje ya Israel zimeshutumiwa na Kamisheni ya Haki za Binaadamu ya Umoja wa Mataifa kwa kuhusika na kile unachosema Umoja huo kuwa ni…
Katika mkutano wa kila mwaka wa viongozi wa dunia kwenye Umoja wa Mataifa, nchi kuu na mashirika ya kikanda yamekuwa yakiratibu juhudi za kumaliza vita walivyovitaja kama vya kutisha nchini…
Ripoti ya hivi karibuni inayoungwa mkono na Umoja wa Mataifa inaonyesha kuwa watoto wako katika hatari ya kufa Sudan Kusini, kutokana na baa la njaa linalochochewa na hatua ya kupunguzwa…
Nchi ya Qatar, imetangaza kujitolea kwake kuhakikisha amani inarejea mashariki mwa DRC, na kanda nzima ya nchi za maziwa makuu. Imechapishwa: 26/09/2025 – 16:33Imehaririwa: 26/09/2025 – 16:37 Dakika 1 Wakati…
Jiji kuu la Madagascar, Antananarivo, limesalia mahame baada ya maandamano makubwa ya Alhamisi ya wiki hii yaliyoshuhudia vurugu, ambapo raia walijitokeza barabarani kupinga mgao wa umeme wa mara kwa mara…
Mkuu wa tume ya haki za binadamu ya umoja wa Mataifa, ameonya kuwa nchi ya Sudan Kusini inaelekea kutumbukia katika machafuko mapya, wakati huu watu Zaidi ya elfu 2 wakiripotiwa…
Wakati huu kikao cha umoja wa Mataifa kikiendelea jijini New York, Marekani, nyuma ya pazia juhudi za kumaliza vita ya Sudan zimeshika kasi, wakati huu mzozo wa nchi hiyo ukisababisha…
Syria inajiandaa kufanya uchaguzi wake wa kwanza wa bunge baada ya kuangushwa utawala wa kidikteta wa zaidi ya miongo minne na vita vya wenyewe kwa wenyewe.
Utafiti wa Taasisi ya Kitaifa ya Utafiti wa Tiba Kenya (KEMRI) kwa ushirikiano na wanasayansi wa kimataifa umebaini kuwa mabadiliko ya tabianchi yamesababisha kubadilika kwa tabia za mbu aina ya…
Hivi karibuni Mahakama Kuu ya Afrika Kusini iliandika historia mpya kwa kutoa uamuzi wa kihistoria unaowaruhusu wanaume kutumia jina la ukoo la wake zao, hatua ambayo imeibua mjadala mkubwa barani…
Mjini Pritoria wakaazi wakiwa wana zana za kuchomea nyama wamejitokeza kuvunja rekodi ya dunia ya japan ya watu 2,220. Lakini zaidi ya shindano hilo kuna ufahari ndani yake- Kwani wengi…
Rais Masoud Pezeshkian amesema kuwa Iran iko tayari kikamilifu kwa hali yoyote endapo nchi za Ulaya zitaendelea na hatua ya kurejesha vikwazo vya Umoja wa Mataifa kupitia kile kinachoitwa utaratibu…
Rais wa Bolivia, Luis Arce, amekemea vikali Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kusababisha maumivu na vifo duniani kote na “kutekeleza mauaji ya kimbari” katika Ukanda wa Gaza…