Trump atangaza ushuru mpya unaozilenga kampuni za dawa
Rais wa Marekani Donald Trump ametangaza ushuru mpya utakaoanza Oktoba 1, kwa kampuni za dawa, malori makubwa, vifaa vya ukarabati wa majumbani na samani.
Rais wa Marekani Donald Trump ametangaza ushuru mpya utakaoanza Oktoba 1, kwa kampuni za dawa, malori makubwa, vifaa vya ukarabati wa majumbani na samani.
Mkurugenzi wa zamani wa shirika la ujasusi la Marekani FBI na mkosoaji maarufu wa Donald Trump James Comey, amefunguliwa mashtaka kwa makosa mawili ya jinai.
Rais wa Marekani amesema hayo kabla ya hotuba ya Waziri Mkuu wa Israel katika Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa.
Urusi na China zimeliomba Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuipigia kura rasimu ya azimio la kuchelewesha kwa miezi sita vikwazo dhidi ya Iran.
Rais wa Marekani Donald Trump amesema kuwa hatoruhusu mshirika wake wa karibu Israel kuunyakua Ukingo wa Magharibi.
Serikali nchini Madagascar imetangaza marufuku ya kutoka nje usiku kufuatia maandamano yaliyoshuhudia polisi wakitumia risasi za mpira na gesi ya kutowa machozi.
Naibu Waziri Mkuu wa Uingereza na waziri wa mambo ya nje David Lammy ameutaja mzozo unaoendelea Ukanda wa Gaza kuwa wa kikatili na usiokubalika kabisa.
Mkutano wa 80 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa unaendelea mjini New York na viongozi mbalimbali wakiwemo wa Afrika wanaendelea kuhutubia.
Matamshi ya Raila yanajiri huku kura ya maoni ya Tifa nchini Kenya ikisema kuwa idadi kubwa ya Wakenya ina amini kwamba Kiongozi wa ODM Raila Odinga atamuunga mkono Rais William…
Rais Masoud Pezeshkian wa Iran amesema kuwa mazungumzo ya kidiplomasia hayatakuwa na maana iwapo kundi la nchi tatu za Ulaya E3 linaloundwa na Uingereza, Ufaransa na Ujerumani zitarejesha tena vikwazo…
Umoja wa Afrika umempongeza Peter Mutharika kwa kushinda uchaguzi wa urais wa Mali na kuwasifu wananchi wa Malawi kwa kuendesha kampeni za uchaguzi kwa amani na utulivu.
Rais Hassan Sheikh Mohamud wa Somalia amesema kuwa nchi yake inaendelea kutiwa wasiwas sana na mateso na masaibu wanayopitia wananchi wa Palestina na kutaka kufikia mapatano ya kusimamisha vita haraka…
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo inakabiliana na mripuko mpya wa ugonjwa wa Ebola, huku maafisa wa afya wakithibitisha kesi kumi na moja za ziada katika Ukanda wa Afya wa Bulape…
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo inakabiliana na mlipuko mpya wa ugonjwa wa Ebola, huku maafisa wa afya wakithibitisha kesi kumi na moja za ziada katika Ukanda wa Afya wa Bulape…
Mahakama ya Paris jana Alhamisi ilimhukumu rais wa zamani wa Ufaransa Nicolas Sarkozy kifungo cha miaka mitano jela baada ya kumpata na hatia ya njama ya uhalifu katika kesi aliyotuhumiwa…
Colombia imetoa wito wa kuundwa jeshi la kimataifa la kukabiliana na utawala wa kizayuni wa Israel.
Leo ni Ijumaa mwezi Tatu Mfunguo Saba Rabiu Thani 1447 Hijria inayosadifiana na tarehe 26 Septemba 2025 Milaadia.
Syria inajiandaa kufanya uchaguzi wake wa kwanza wa bunge baada ya kuangushwa utawala wa kidikteta+++Shambulizi la droni lililosababisha usumbufu katika viwanja vya ndege na kambi za kijeshi nchini Denmark limeibua…
Rais wa Marekani Donald Trump atangaza ushuru mpya na kufufua tena vita vya kibiashara++Mkurugenzi wa zamani wa FBI James Comey afunguliwa mashtaka ++Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kupigia…
Rais wa Marekani Donald Trump atangaza ushuru mpya na kufufua tena vita vya kibiashara++Mkurugenzi wa zamani wa FBI James Comey afunguliwa mashtaka ++Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kupigia…
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers muda wote bonyeza hapa
Serikali ya Slovenia imetangaza Alhamisi kuwa imeamua kwa kauli moja kumpiga marufuku Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu kuingia nchini humo, ikikumbusha kuwa kesi zinaendelea dhidi yake kwa uhalifu wa…
Rais wa Mamlaka ya Palestina Mahmoud Abbas ameuambia Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa siku ya Alhamisi kwamba mashambulizi ya Oktoba 7 “hayawakilishi raia wa Palestina,” akiikatisha tamaa Hamas kwa…
Donald Trump amebainisha siku ya Alhamisi, Julai 25, kwamba “hataruhusu Israel kutwaa Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu,” hatua iliyotakiwa na mawaziri wa siasa kali za mrengo wa kulia wa…
Haiti, iliyoharibiwa na ghasia za magenge, ni “nchi iliyo katika vita,” ametangaza Laurent Saint-Cyr, Rais wa Baraza la Rais la Mpito la Haiti, katika Umoja wa Mataifa siku ya Alhamisi,…
Donald Trump amesema yuko tayari kuondoa vikwazo vya Marekani dhidi ya sekta ya ulinzi ya Uturuki “karibu mara moja” wakati akimpokea mwenzake, rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan, siku ya…
Wafungwa wa magenge hasimu walikabiliana vikali Alhamisi katika gereza moja katika mji wa kaskazini-magharibi mwa Ecuador wa Esmeraldas, na kusababisha vifo vingi, kulingana na polisi. Imechapishwa: 26/09/2025 – 00:02 Dakika…
Mfumuko wa bei, ukosefu wa ajira na upungufu wa fedha za kigeni vimechochea hasira kubwa miongoni mwa Wamalawi, na kufungua njia ya kurejea kwa Peter Mutharika katika siasa. Je, urais…
Watu 17 zaidi wameuawa katika Ukanda wa Gaza. Wanaharakati Wataliano walio kwenye msafara wa boti za misaada kwa ajili ya watu wa Gaza wakataa pendekezo la serikari yao.
Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky ametishia kuishambulia Ikulu ya Kremlin ikiwa Urusi itaendeleza vita dhidi ya taifa lake.
Rais wa zamani wa Ufaransa Nicolas Sarkozy, amesema ataikatia rufaa hukumu ya kifungo cha miaka mitano jela kwa tuhuma za kupokea ufadhili kutoka Libya katika kampeni yake ya urais ya…
Kansela Friedrich Merz amesema Ujerumani iko hatarini kumpoteza Marekani kama mshirika wake mkubwa kabisa na wa kumtegemea.
Serikali ya Slovenia imepiga marufuku Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu kuingia nchini humo, hatua inayochochea zaidi mivutano ya kidiplomasia kati ya Ljubljana na Tel Aviv.
Rais wa Palestina amelihutubia baraza hilo kwa njia ya video na kuikosoa vikali Israel kwa vita vyake huko Gaza na kwa vitendo vyake katika eneo Ukingo wa Magaharibi, huku pia…
Meli ya mizigo yenye bendera ya Tanzania imeripotiwa kuzama kwa sehemu kusini mwa Kisiwa cha Kish nchini Iran, kwa mujibu wa shirika la habari la Tasnim.
Rais wa Mamlaka ya Palestina Mahmoud Abbas amesema kundi la Hamas halitakuwa na nafasi katika uongozi wa Palestina mara vita vitakapokoma kwenye Ukanda wa Gaza na litalazimika kukabidhi silaha zake…
Rais wa Palestina Mahmoud Abbas amesema kundi la Hamas halitakuwa na nafasi katika uongozi wa Palestina mara vita vitakapokoma kwenye Ukanda wa Gaza na litalazimika kukabidhi silaha zake kwa Mamlaka…
Baada ya ukiukaji wa anga ya NATO na ndege za Urusi nchini Poland na Estonia, mjadala mkali umeibuka miongoni mwa wanachama wa jumuiya hiyo kuhusu iwapo wachukue hatua za moja…
Rais wa zamani wa Ufaransa Nicolas Sarkozy, aliyeingia madarakani kwa kishindo mwaka 2007, anakabiliwa na anguko kubwa la kisiasa baada ya kuhukumiwa kifungo cha miaka mitano jela kwa ufisadi na…
Rais wa Palestina Mahmoud Abbas amesema kwamba kundi la Hamas halitakuwa na nafasi katika uongozi wa Gaza mara baada ya vita kukoma, akisisitiza kuwa mamlaka ya Palestina iko tayari kubeba…
“Nilikuwa nimepitiwa na usingizi…” Hamisa akajibu. “Samahani. Nilikupigia muda huu kwa kuhisi kuwa umeshatoka kazini.” “Bila samahani. Nililala ghafla tu, sijazima televisheni wala taa… Kwema huko?”
Rais Mahmoud Abbas wa Mamlaka ya Palestina analihutubia leo Alhamisi Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa mjini New York kwa njia ya video.
Umoja wa Afrika umempongeza Peter Mutharika kwa kushinda uchaguzi nchini Malawi, pamoja na wanachi wa taifa hilo kwa kufanya kampeni za amani.
Rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron, amekaribisha ‘ujumbe wa wazi’ uliotolewa na rais wa Marekani, Donald Trump, ambaye juma hili alionekana kubadili msimamo kuhusu vita ya Ukraine, akidai kuwa nchi hiyo…
Rais wa zamani wa Ufaransa Nicolas Sarkozy amekutwa na hatia na mahakama ya jinai ya Paris kwa baadhi ya makosa ya kesi inayohusiana na madai ya fedha za kampeni kutoka…
Ripoti mpya iliyochapishwa hii leo na jarida la masuala ya tiba la Lancet inaonyesha idadi ya visa vipya vya saratani vitaongezeka kwa kasi kote ulimwenguni katikati ya karne hii.
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema katika kujibu madai ya Marekani ya kwamba eti iko tayari kufanya mazungumzo na Iran na kuheshimu diplomasia na kusema: Huwezi…
Wananchi wa Tunisia wamefanya maandamano katika mikoa na miji mikubwa yote ya nchi hiyo kuunga mkono kundi la Global Fleet of Resistance na pia kuunga mkono mapambano ya kuhakikisha vita…
Baada ya Israel kushindwa kuzuia shambulio la droni la Yemen katika eneo la kusini mwa ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu, gazeti la Jerusalem Post linalotoa nakala nyingi zaidi limekiri…
Ndege iliyokuwa imembeba waziri mkuu wa Israel ambaye ni maarufu kwa jina la nduli wa Ghaza na ambaye anasakwa na Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) kujibu mashtaka ya jinai…