UNRWA: Ndoto ya Wapalestina sasa ni kufa kwa heshima kuliko kuishi katika mateso ya jinai za Israel
Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Msaada kwa Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA), Philippe Lazzarini, ametoa onyo kali kuhusu hali ya kibinadamu ya Gaza kiasi kwamba Wapalestina wanafadhilisha kufa…