1 Oktoba 2025

Umoja wa Ulaya umesisitiza umuhimu wa kuwekeza katika ulinzi dhidi ya ndege zisizo na rubani barani Ulaya. Lakini Jumuiya hiyo imesema itachukua muda mrefu zaidi ili kujenga uwezo wa ulinzi madhubuti dhidi ya mashambulizi ya droni.

https://p.dw.com/p/51M6q

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *