Kwa taarifa yako…nzi na funza wanaweza kukuinua kiuchumu…

Fuatilia simulizi ya Denis Kamanzi, mwanzilishi wa BIOAKEMI, ambaye aliona fursa kwenye ufugaji wa nzi-chuma na funza. Fursa hii imebadili muelekeo wa maisha yake, ikamwezesha kujiajiri na pia kuajiri vijana wengine.

Msikilize akifafanua namna nzi na funza walivyokuwa daraja la kumuinua kiuchumi.

#AzamTVUpdates
✍Alpha Jenipher
Mhariri | John Mbalamwezi

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *