Maandalizi ya kituo cha kupokea, kujumuisha na kutangaza matokeo ya kura za Urais yamekamilika.
Kituo hicho kiko makao makuu ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) eneo la Njedengwa – Dodoma ambapo George Mbara amefika eneo hilo kutoa taarifa ya maandalizi hayo.
#AzamTVUpdates
Mhariri | John Mbalamwezi