Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Dkt
Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Dkt. Seif Shekalaghe, amewataka watumishi wa umma na Watanzania kwa ujumla kufanya mazoezi, kula mlo sahihi na kupumzika vya kutosha ili kulinda afya za…
Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Dkt. Seif Shekalaghe, amewataka watumishi wa umma na Watanzania kwa ujumla kufanya mazoezi, kula mlo sahihi na kupumzika vya kutosha ili kulinda afya za…
Utawala wa kizayuni wa Israel umeueleza Umoja wa Mataifa kwamba utaruhusu malori 300 tu ya misaada kwa siku, ikiwa ni nusu ya idadi iliyokubaliwa kuingia katika Ukandwa Ghaza kuanzia leo…
Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa amesema usitishaji vita wa Ghaza hautaathiri kesi ya mauaji ya kimbari iliyofunguliwa na nchi yake dhidi ya utawala wa kizayuni wa Israel katika Mahakama…
Mahakama ya Juu ya Katiba ya Madagascar Jumanne "imemwita" kamanda wa Kituo cha Uendeshaji cha Wafanyakazi wa Jeshi (CAPSAT) Kanali Michael Randrianirina "akatekeleze kazi za mkuu wa nchi."
Chama tawala cha Rais wa Gabon Brice Oligui Nguema, cha Muungano wa Kidemokrasia wa Wajenzi (Democratic Union of Builders) (UDB) kimepata ushindi wa kishindo katika uchaguzi wa Bunge, kwa kunyakua…
Mwanamuziki na mwigizaji maarufu kutoka Marekani, Akon Thiam amekumbwa na sakata jipya katika...
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, CPA Amos Gabriel Makalla, amewahakikishia wazee na wananchi wa mkoa huo usalama na amani wakati wa uchaguzi mkuu Oktoba 29, 2025. Akizungumza katika matembezi ya…
🔴HABARI ZA SAA, SAA MBILI NA DAKIKA 55, OKTOBA 15, 2025
Hapo ndipo zilipozaliwa ndoto za kutafuta maisha bora ya Ulaya na kuwaingia akilini vijana wengi walioamini wangefanikiwa kimaisha kama wangefika katika mojawapo wa nchi za bara hilo.
Kwanza hakutaka kuamini moja kwa moja kama dereva aliyekuwa naye alikuwa amemtoroka, aligeuka huku na kule, kisha alipiga hatua kadhaa kuufuata Mtaa wa Congo lakini hakuwa na matumaini...