Wasimamizi wa vituo Kahama Mjini watakiwa kuwa wazalendo
Wasimamizi na wasimamizi wasaidizi wa vituo vya kupigia kura Kahama Mjini mkoani Shinyanga...
Wasimamizi na wasimamizi wasaidizi wa vituo vya kupigia kura Kahama Mjini mkoani Shinyanga...
Jumuiya ya Wafanyabiashara Tanzania (JWT) imetoa wito kwa wafanyabiashara wote nchini kushiriki...
Wakati Jeshi la Polisi likikiri kumshikilia mfanyabiashara Jenifer Jovin maarufu Niffer kwa...
#HABARI: Mgombea wa nafasi ya ubunge wa Jimbo la Mbeya Mjini na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mbeya Bw.Patrick Mwalunenge, amefunga kampeni zake kwa kuzungumza na wafanyabiashara…
Serikali mpya nchini Madagascar imetangazwa adhuhuri Jumanne, Oktoba 28. Inajumuisha mawaziri wapya 29 waliopewa jukumu la “kuitoa nchi kwenye mgogoro.” Timu hii mpya inajumuisha majina mengi ambayo hayajulikani kwa umma,…
Mvutano unaongezeka tena huko Kinshasa kati ya serikali na kambi ya rais wa zamani Joseph Kabila. Wakati PPRD imeendelea na shughuli zake za kisiasa, Mahakama Kuu ya Kinshasa/Gombe ilitoa amri…
Kocha mpya wa Yanga, Pedro Goncalves ameanza kazi kwa ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Mtibwa...
#HABARI: Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Hamza S. Johari amesema kuwa, Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani wa Mwaka 2025 unaotarajiwa kufanyika tarehe 29 Oktoba ni halali kwa kuwa…
#HABARI: Mkuu wa Wilaya ya Namtumbo, Mkoani Ruvuma, Bi.Ngollo Malenya, amesema hakuna tishio lolote la uvunjifu wa amani katika wilaya hiyo kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2025, huku akiwahakikishia wananchi kwamba…
UONGOZI wa TRA United upo katika hatua za mwisho kukamilisha mchakato wa kupata kocha mkuu wa kuinoa timu hiyo ambapo kwenye mchujo yamebaki majina mawili tu.
Tatizo la utapiamlo barani Afrika limeendelea kutafutiwa ufumbuzi baada ya kuingiwa makubaliano...
WALE TRA United ni kama wako siriazi sana na kama hufahamu ni kwamba wako kwenye hatua za mwisho kumrudisha nchini bosi aliyewahi kufanya kazi bora na klabu za Simba na…
WALE TRA United ni kama wako siriazi sana na kama hufahamu ni kwamba wako kwenye hatua za mwisho kumrudisha nchini bosi aliyewahi kufanya kazi bora na klabu za Simba na…
WALE TRA United ni kama wako siriazi sana na kama hufahamu ni kwamba wako kwenye hatua za mwisho kumrudisha nchini bosi aliyewahi kufanya kazi bora na klabu za Simba na…
Baada ya miaka ya mapambano na uraibu wa dawa za kulevya, Talik Azizi Mkawa wa Arusha ameamua kufungua ukurasa mpya wa maisha. Akiguswa na wito wa Rais Dkt. Samia Suluhu…
Fasheni zinakuja na kupotea, ila hii ya miwani za msanii wa Bongo Movie na aliyewahi kushiriki...
BAADA ya kupokea kichapo cha bao 1-0 kutoka kwa Mashujaa, kocha Mkuu wa Namungo, Juma Mgunda amesema anaamini kikosi chake kitafanya vizuri dhidi ya Azam kwenye mechi itakayochezwa Novemba 5,…
TIMU ya Taifa ya Soka ya Wanawake ya Tanzania, Twiga Stars, imefuzu Fainali za Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) 2026 baada ya kuiondosha Ethiopia kwa jumla ya mabao 3-0.
Timu ya Taifa ya Tanzania ya Wanawake ‘Twiga Stars’ imefuzu Fainali za Kombe la Mataifa ya...
#HABARI: Taasisi ya Mwanamke na Nguvu ya Kijani Tanzania, imewaasa wanawake na vijana kuwa makini katika kulinda amani, huku ikiwataka kuwa mabalozi wa amani ili kusaidia kujenga kizazi chenye utu…
Mfanyabiashara Jenifer Jovin, maarufu mitandaoni kama Niffer, bado anaendelea kushikiliwa na...
#HABARI: Mhandisi Godfrey Kasekenya, mgombea Ubunge wa jimbo la Ileje mkoani Songwe kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), amehitimisha kampeni zake katika kata ya Itale huku akiahidi kufanya maboresho makubwa ya…
Mgombea ubunge wa Jimbo la Mbulu Vijijini, Emanuel Nuwas, amehitimisha rasmi kampeni zake leo, akiahidi kuimarisha sekta muhimu za maendeleo ikiwemo afya, barabara, maji na kilimo. Amesema atatoa kipaumbele kwa…
Mgombea urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan amehitimisha kampeni...
Jamii imeaswa kutosita kutoa au kufichua taarifa za kihalifu kwa mamlaka mbalimbali nchini, kwani ipo Sheria ya Watoa Taarifa na Mashahidi Sura ya 446 ambayo imeundwa mahsusi kuwalinda watoa taarifa…
KAMATI ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) katika kikao chake cha Oktoba 27, 2025, imefikia uamuzi wa kuipa Pamba Jiji pointi tatu na…
KAMATI ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) katika kikao chake cha Oktoba 27, 2025, imefikia uamuzi wa kuipa Pamba Jiji pointi tatu na…
Mgombea wa nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan akiagana na makundi mbalimbali ya wanahabari, wapigapicha, wananchi na vikundi vya…
Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan amesema kuwa amekutana na makundi mbalimbali ya waangalizi wa kimataifa waliofika nchini kufuatilia…
Wakati Rais wa Cameroon, Paul Biya akitangazwa mshindi katika uchaguzi wa Oktoba 12, 2025...
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imeeleza kimbunga Chenge kimepoteza nguvu yake na...
Wakati kampeni za wagombea zikikamilika, hamu ya Watanzania inahamasishwa na kumpata Rais...
Wataalamu wa afya wametahadharisha kuhusu ongezeko la matumizi ya vinywaji vyenye sukari...
Kazi ya upigaji wa kura ya mapema imefanyika leo Jumanne Oktoba 28, 2025 katika vituo 50...
KLABU ya Mtibwa Sugar ya mkoani Morogoro, imetozwa faini ya jumla ya Sh20 milioni kwa kosa la kuanza msimu wa Ligi Kuu Bara na kucheza mechi nne bila kuwa na…
Fundi ujenzi, Henry Mhagama (25) amefariki dunia baada ya kujinyonga ndani ya chumba chake...
#HABARI: Zoezi la uthamini maeneo yatakayopitiwa na ujenzi wa Mradi wa Reli ya Kisasa SGR kipande cha 6 kutoka Tabora hadi Kigoma linaendelea kwa kasi katika wilaya sita za mikoa…
Mgombea Mwenza wa Urais wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Emmanuel Nchimbi, ameahidi kuwa msaidizi mwaminifu na mchapakazi kwa Dkt. Samia Suluhu Hassan endapo watapewa ridhaa ya kuunda…
Kikosi cha Simba kimetua Tabora leo saa 8 mchana tayari kwa mchezo wake wa Ligi Kuu Tanzania...
Mbunge wa zamani wa viti maalum wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Munde Tambwe amempigia kampeni mgombea ubunge wa chama hicho katika jimbo la Tabora Mjini, Hawa Mwaifunga katika kampeni za…
#HABARI: Naibu Katibu wa Chama cha Wamiliki wa Mabasi (TABOA) Issa Nkya, amewatoa hofu wananchi na abiria kuwa hakijatoa tamko la usitishaji huduma za usafiri wa mabasi ya mikoani na…
Uhusiano wa kibiashara kati ya Tanzania na China umechukua sura mpya, baada ya kugeuka lango la...
Mshauri mkuu wa kijeshi wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei ametaja "vita vya korido" vinavyoibuka kuwa ni uwanja muhimu katika uhusiano wa kimataifa, na uwanja mpya…
Waziri wa Afya katika jimbo la Darfur, Babiker Hamdeen amesema kwamba maelfu ya raia wameuawa katika mji wa El Fasher katika siku mbili zilizopita, huku Umoja wa Afrika ukilaani "ukatili"…
#HABARI: Msemaji wa Jeshi la Polisi DCP David Misime, ametahadharisha juu ya uwepo wa kikundi cha watu ambao wanaandaa picha mjongeo na matukio ya nyuma, ambayo yameshashughulikiwa na mengine ni…
Mwenyekiti wa tume huru inayochunguza madai ya ukiukaji wa haki za binadamu katika ardhi ya Palestina Iliyokaliwa kwa mabavu na Israel leo ameiambia kamati ya Baraza Kuu la Umoja wa…