Kwa nini zaidi ya watu milioni 670 wanakabiliwa na njaa
Zaidi ya asilimia nane ya idadi ya watu wote duniani, au takriban watu milioni 673, hawapati chakula cha kutosha na wanateseka na njaa, kwa mujibu wa Umoja wa Mataifa. Mizozo,…
Zaidi ya asilimia nane ya idadi ya watu wote duniani, au takriban watu milioni 673, hawapati chakula cha kutosha na wanateseka na njaa, kwa mujibu wa Umoja wa Mataifa. Mizozo,…
Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo, FAO linapoadhimisha miaka 80 tangu kuanzishwa kwake, kazi yake nchini Tanzania ni kielelezo dhahiri cha dhamira ya shirika hilo katika kuhakikisha…
🔴HABARI ZA SAA, SAA NANE NA DAKIKA 55, OKTOBA 16, 2025
Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam imeyakataa maombi ya mawakili wa wajibu maombi katika...
Trump asema kuwa mapato ya Urusi kutoka mauzo ya mafuta ndiyo chanzo kikuu cha fedha kinachotumika kufadhili vita vya Urusi nchini Ukraine.
Wagombea wa nafasi ya Ubunge Eng. Chacha Wambura na Udiwani Kata ya Nyanguku Elias Ngole katika jimbo la Geita Mjini wamesema wakipata nafasi ya kuwaongoza Wananchi watahakikisha suala la barabara…
Pamba Jiji ipo nafasi ya 15 kwenye msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara ikiwa na pointi mbili...
Mkazi wa Mbezi Beach kwa Zena na maeneo ya jirani, Balozi wa AzamTV @mkwere_original ana ujumbe mahsusi kwako. #AzamTVBurudaniKwaWote
#HABARI: Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limetoa tamko rasmi likieleza kuwa linaendelea kufuatilia kwa karibu hali ya Ulinzi na Usalama nchini katika kipindi hiki cha kuelekea Uchaguzi…
Hamas iliwaachilia mateka 20 wa mwisho walio hai Oktoba 13, lakini hadi sasa imerejesha tu miili tisa kati ya 28 ya waliofariki huko Gaza. Hii ni idadi ndogo sana kwa…