Dakika 810 zamtosha Malale Mbeya City, atemwa na wenzake kikosini
Baada ya kuitumikia Mbeya City kwa takribani miezi nane pekee, Kocha Mkuu, Malale Hamsini na wenzake wa benchi la ufundi wamesitishiwa mkataba leo Jumapili Novemba 30, 2025.
Baada ya kuitumikia Mbeya City kwa takribani miezi nane pekee, Kocha Mkuu, Malale Hamsini na wenzake wa benchi la ufundi wamesitishiwa mkataba leo Jumapili Novemba 30, 2025.
BAO la penalti katika dakika za majeruhi lililofungwa na mtokea benchi, Marouf Tchakei imeiwezesha Singida Black Stars kuandika historia ya kuvuna pointi ya kwanza ya katika mechi za makundi ya…
LICHA ya wenyewe kujinasibu kwamba Jumapili huwa ni siku nzuri kwa klabu yao, lakini hali kwa Jumapili ya leo imekuwa kinyumw kwa Simba baada ya awali kuvurugana katika Mkutano Mkuu…
Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega amewaagiza mameneja wa Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads)...
Kesho macho na masikio yatakuwa kwa wajumbe wa Chama cha Mapinduzi (CCM) nchi nzima...
Viongozi wa vyama vya ushirika nchini wametakiwa kuimarisha uadilifu kwa kuzingatia kanuni...
Katikati ya makali ya ugonjwa wa saratani duniani, Russia imeanza kusambaza chanjo inayotumia...
Katika juhudi za kuinua kiwango cha utafiti na ubunifu katika kada mbalimbali za afya nchini...
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Profesa Palamagamba Kabudi amesema endapo...
Baada ya kupita katika kipindi kigumu cha kutopata ushindi katika mechi tatu mfululizo za Ligi...
Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba amewataka Watanzania kulinda amani na kuwakataa watu wachache...
Hali imeendelea kuwa tete kwa Mbeya City baada ya kupoteza mchezo wa tatu mfululizo katika Ligi...
Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba amemwagiza Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Camilius...
Mbeya. Hali imeendelea kuwa tete kwa Mbeya City baada ya kupoteza mechi ya tatu mfululizo katika Ligi Kuu kwa kufungwa bao 1-0 na Namungo, huku mashabiki wakionekana kumkatia tamaa kocha…
Uhaba wa ajira, uhuru wa kujieleza, ukimya wa Serikali kuhusu matukio ya utekaji, na ugumu wa...
GEITA: SERIKALI kupitia Wizara ya Madini imepanga kufanya kikao maalum cha kufanya tathimini juu ya kiini cha tatizo la uhaba na kupanda mara dufu kwa bei ya kemikali ya sianidi…
Baada Rais Samia Suluhu Hassan kuunda tume ya kuchunguza chanzo cha matukio ya wakati na baada...
UHONDO wa Ligi ya Championship kwa msimu wa 2025-2026, unaendelea tena leo kwa mechi sita za raundi ya nane kupigwa na ushindani umekuwa ni mkubwa, hasa kwa timu kuanzia ya…
WAGOSI wa Kaya iliyotoka kuopata ushindi wa mabzo 2-0 nyumbani, imesafiri hadi Kigoma tayari kwa pambano la Ligi Kuu Bara dhidi ya wenyeji wao, Mashujaa huku namba zikiwabeba.
Kamati ya Umoja wa Mataifa dhidi ya Mateso (CAT) imeulaani utawala wa Israel kwa kutekeleza sera ya "mateso ya kupangwa" dhidi ya Wapalestina.
Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge la Iran) Mohammad Baqer Qalibaf amelaani vikali hatua ya serikali ya Australia ya kuliweka katika orodha nyeusi Jeshi la Walinzi…
GEITA: WAZIRI wa Madini, Anthony Mavunde ameagiza Ofisi ya Madini mkoa Kimadini Mbogwe kufanya uchunguzi wa leseni kubwa za utafiti (PL) 191 ambazo hazijaendelezwa kwa muda mrefu. Mavunde ametoa maagizo…
Uchunguzi wa timu ya FRANCE 24 Observers unaonyesha namna gesi ya klorini ilivyotumika kama silaha katika vita vya wenyewe kwa wenyewe vinavyoendelea nchini Sudan.
Jumla ya wahitimu 1,823 wa Chuo Kishiriki cha Elimu Dar es Salaam (DUCE) wametakiwa kuingia kwenye soko la ajira wakiwa kizazi kipya cha uongozi, ubunifu na uadilifu. Akizungumza katika mahafali…
Biashara ya nje ya Iran katika miezi minane ya kwanza ya mwaka huu kwa mujibu wa kalenda ya Iran ya Hijria Shamsia yaani (Kuanzia Machi 21, 2025 hadi Novemba 21…
WAHITIMU wa kozi mbalimbali katika Chuo Cha Usimamizi cha Afrika Mashariki na Kusini mwa Afrika (ESAMI) wametakiwa kukumbatia mageuzi ya kidigitali bila woga kwa uadilifu na maadili kwa maslahi ya…
Wakati Baraza la Vyuo Vikuu vya Afrika Mashariki (IUCEA), likionyesha zaidi ya asilimia 50 ya...
Mkuu wa Wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro, Christopher Timbuka, amewataka watumishi wa...
MENEJA wa Yusuph Athuman anayekipiga Napsa Stars inayoshiriki Ligi Kuu ya Zambia, Hon Simbeye amesema kama mshambuliaji huyo wa zamani wa Yanga ataendelea kupata nafasi ya kucheza huu unaweza kuwa…
Waziri wa Mambo ya Nje wa Venezuela amesema nchi yake inathamini kwa dhati uungaji mkono wa Iran kwa nchi hiyo ya Amerika ya Latini mkabala wa vitisho vya kijeshi na…
INGAWA nahodha wa timu ya taifa Tanzania, Taifa Stars Mbwana Samatta hajafunga bao lolote akiwa na kikosi cha Le Havre ya Ufaransa katika dakika 518, takwimu zinaonyesha ni mchezaji hatari…
Mtoto wake wa kiume ni mmoja kati ya wanafunzi 300 waliotekwa na kundi la watu waliokuwa na silaha, waliovamia shule ya Kanisa Katoliki ya ya Mtakatifu Mary iliyopo kijijini Papiri…
MABOSI wa Brighton & Hove Albion wanaangalia uwezekano wa kumtoa kwa mkopo mshambuliaji wa Kitanzania, Aisha Masaka kwenda Hispania baada ya kutopata nafasi ya kucheza kikosini hapo.
Kila Novemba 30 ulimwengu huadhimisha Siku ya Kimataifa ya kukumbuka waathiriwa wote wa vita vinavyotumia kemikali, na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres ameutuia ujumbe wake wa mwaka…
MENEJA wa mchezaji Suzana Adam, James Mlaga amesema sababu za kiungo huyo kurejea Bongo na kujiunga na Tausi FC inayoshiriki Ligi ya Wanawake ni kumjengea hali ya kujiamini baada ya…
Uongozi wa Kanisa la Ufufuo na Uzima la Askofu Josephat Gwajima umedai kuwepo kwa upotevu na...
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar, Hamza Hassan Juma, amesema hakuna...
Waziri wa Madini, Antony Mavunde amesema Serikali imejipanga kudhibiti tabia ya baadhi ya...
Makao makuu ya Kamisheni ya Bonde la Ziwa Victoria ( LVBC) chini ya Jumuiya ya Afrika Mashariki...
AT least four people have been killed in a mass shooting at a child’s birthday party in California. Ten others were injured in the shooting at a restaurant on Saturday…
Jeshi la Magereza limetangaza orodha ya majina ya waliochaguliwa kuhudhuria mafunzo ya awali ya...
Mkutano Mkuu wa Simba wa mwaka 2025, umeisha saa 5:59 asubuhi, huku ukiibua maswali kwa...
DAR ES SALAAM: THE Tanzania Trade Development Authority (TanTrade) is evaluating five international investors who have expressed interest in the ambitious 948.5bn propject to redevelop the Mwalimu Julius Nyerere Trade…
ARUSHA: CHAMA cha Kuweka na Kukopa cha Usalama wa Raia (Ura Saccos) kimepata hati safi kwa miaka tisa mfululizo kutoka kwa mkaguzi wa nje kutokana na uadilifu wa uendeshaji makini…
Katika ripoti yake ya hivi karibuni kabisa, tovuti ya Middle East Eye imefanya uchunguzi kuhusu changamoto zinazoikabili Tel Aviv baada ya vita vya kivamizi na kichokozi vya siku 12 ilivyovianzisha…
MKUTANO Mkuu wa Simba wa mwaka 2025, umeisha saa 5:59 asubuhi, huku ukiibua maswali kwa wanachama kutokana na aina ya ulivyomalizika.
Simba imetangaza inakusudia kukusanya kiasi cha sh 29.5 Bilioni kwenye msimu huu wa 2025/26...
NI mida ya usiku, wanaonekana wanafunzi wa shule ya msingi katika kituo cha daladala wakisubiri usafiri jijini Dar es Salaam. Nalazimika kuwahoji sababu za kuwa kituoni hapo muda huo ambao…
SIMBA imetangaza kuwa, inakusudia kukusanya kiasi cha Sh 29.5 Bilioni kwenye msimu huu wa 2025/26 kama bajeti ya klabu hiyo.