Tanzania: Chama Cha Mapinduzi (CCM) chatangaza nafasi za kuwania Uspika bara na visiwani
Hatua hiyo inakuja siku moja baada ya kuapishwa wa Samia Suluhu Hassan kama rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kufuatia ushindi wake wa kiti hicho katika uchaguzi wa Oktoba 29, 2025.