Tanzania: Chama Cha Mapinduzi (CCM) chatangaza nafasi za kuwania Uspika bara na visiwani

Hatua hiyo inakuja siku moja baada ya kuapishwa wa Samia Suluhu Hassan kama rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kufuatia ushindi wake wa kiti hicho katika uchaguzi wa Oktoba 29, 2025.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *