Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Mamlaka za Tanzania zinakabiliwa na shinikizo kubwa kuhusu ripoti za maafisa wa usalama kuwapiga risasi na kuwaua waandamamanji waliojitokeza mitaani kuupinga uchaguzi uliofanyika nchini humo wiki iliyopita / Urusi yasema Ukraine inaficha hali mbaya upande wa mashariki.