Breuer ametoa onyo hilo wakati wa hotuba yake kwa viongozi wakuu wa kijeshi nchini humo.

Breuer amesema wanahitaji kuyaangazia kwa undani mafunzo waliyoyapata kutokana na vita nchini Ukraine, kuyatumia kwa maslahi yao na kuunda mifumo inayofaa kwa sababu vita nchini Ukraine ndio mfano wao.

Pia amesema Urusi ilitarajia ushindi wa haraka ilipoivamia Ukraine mnamo mwaka 2022.

Mkuu huyo ameongeza kuwa lazima waizuie Urusi kutofanya kosa lingine kama hilo.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *