Wataalamu waonya watoto milioni 14 wako katik hatari ya njaa DRC

Uchambuzi wa data mpya kutoka kwa Ushirikiano wa Awamu Jumuishi ya Usalama wa Chakula (IPC) iligundua kuwa watoto wapatao milioni 14—mmoja kati ya watano – watakabiliwa na viwango vya njaa au mbaya zaidi kati ya Januari na Juni mwaka ujao.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *