Mawaziri wa mambo ya nje wa nchi zilizoendelea kiviwanda duniani G7 wameeleza wasiwasi wao kuhusu kuzorota kwa hali ya usalama nchini Sudan+++Wiki hii Syria ilijiunga na kundi linaloongozwa na Marekani la mataifa yanayopambana dhidi ya kundi linalojiita “Dola ya Kiislamu”