Kampuni ya Boeing kulipa zaidi ya dola milioni 28 kwa familia ya aliyefariki katika ajali ya ndege

Kama idadi kubwa ya abiria wengine katika ndege hiyo iliyoanguka, Garg, mshauri wa Mipango ya Maendeleo wa Umoja wa Mataifa, alikuwa akielekea kuhudhuria mkutano wa Umoja wa Mataifa wa mazingira huko Nairobi, Kenya.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *