Afrika yakumbwa na mlipuko wa kipindupindu mbaya zaidi katika miaka 25

Kituo cha kudhibiti na kuzuia magonjwa Afrika (CDC) kimesema bara hilo linakabiliwa na mlipuko mbaya zaidi wa kipindupindu katika kipindi cha robo karne, hali inayochochewa na mifumo dhaifu ya maji na migogoro.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *