Trump kuanza jitihada za kusitisha vita Sudan

Rais wa Marekani Donald Trump alisema Jumatano kuwa ataanza “kufanyia kazi” vita vya Sudan, baada ya Mwanamfalme wa Saudi Arabia, Mohammed bin Salman, aliyekuwa ziarani Marekani, kumwomba kusaidia kumaliza mgogoro huo.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *