Ndege iliyobeba msaada wa chakula yaanguka Sudan Kusini, watatu wafariki
Ndege iliyokuwa ikisafirisha msaada wa chakula kwa shirika la kimataifa la Samaritan Purse ilianguka katika Jimbo la Unity nchini Sudan Kusini siku ya Jumanne, wafanyakazi wake wote watatu wamefariki, afisa wa shirika hilo amesema.