Rais Kagame aishutumu DRC kwa kuchelewesha makubaliano ya amani ya Washington

Rais wa Rwanda Paul Kagame ameishutumu serikali ya Congo kwa kuchelewesha kutia saini makubaliano ya amani yenye lengo la kumaliza mzozo katika eneo lenye utajiri wa madini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *