Walimu wa Sekondari ya Mndeme iliyopo Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Vijijini, wameanzisha kilimo cha kabeji ili kurahisisha upatikanaji wa mboga kwenye chakula cha wanafunzi shuleni.
#AzamTVUpdates
Mhariri | John Mbalamwezi
Walimu wa Sekondari ya Mndeme iliyopo Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Vijijini, wameanzisha kilimo cha kabeji ili kurahisisha upatikanaji wa mboga kwenye chakula cha wanafunzi shuleni.
#AzamTVUpdates
Mhariri | John Mbalamwezi