Kenya kukata rufaa dhidi ya uamuzi wa mahakama uliosimamisha mkataba wa biashara wa Umoja wa Ulaya
Shirika lisilo la kiserikali la Centre for Law Economics and Policy, liliwasilisha kesi hiyo dhidi ya Kenya kwa misingi kuwa makubaliano yalikiuka baadhi ya vipengele vya mkataba wa kuanzisha soko la pamoja la Jumuiya ya Afrika Mashariki