Today
Jumapili hii Desemba 07, katika NBC Premier League inapigwa Derby ya Mzizima

Mnyama Simba SC atakuwa dimba la Benjamin Mkapa akiwakaribisha AzamFC.

Mechi hii itapigwa kuanzia saa 11:00 jioni na kuruka mbashara kupitia AzamSports1HD.

Mara ya mwisho timu hizi zilipokutana zilitoka sare ya 2 – 2.

Je, safari nii nani kuondoka na alama tatu?

Kwa kifurushi cha shilingi 28,000 unatazama mchezo huu.

#MzizimaDerby #SimbaSC #AzamFC #NBCPL

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *