Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki na mwenzake kutoka Finland Alexander Stubb, wamejadiliana mahusiano ya nchi zao, masuala ya kikanda na ya ulimwengu kupitia mazungumzo ya simu.

Kulingana na taarifa iliyotolewa na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Uturuki, Rais Erdogan alisisitiza nia ya Uturuki kukuza kiwango cha biashara na Helsinki.

Kulingana na Rais Erdogan, Uturuki inazingatia umalizwaji wa mchakato wa amani kati ya Ukraine na Urusi, akiongeza kuwa mazungumzo ya Istanbul yataonesha ufanisi katika hilo.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *