Marais Paul Kagame, Felix Tshisekedi watia saini mkataba wa kumaliza machafuko mashariki mwa DRC

Utiaji saini wa mkataba huo wa amani unakuja miezi mitano, baada ya mawaziri wa mambo ya nje wa Rwanda na DRC kukutana na Rais Trump, na kuonesha nia yao ya kumaliza mapigano.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *