Serikali ya Tanzania yashangazwa na taarifa ya nchi za kigeni juu ya matukio ya Oktoba 29
Taarifa ya Wizara ya Mambo ya Nje na ushirikiano wa Afrika Mashariki imesema kuwa serikali imepokea kwa mshangao malalamiko ya kimataifa juu ya matukio ya Oktoba 29 licha ya mazungumzo ya wazi nao