“Sikukamatwa, NILITEKWA.
Hukamatwi kwa kuwekewa bastola kichwani na kufungwa vitambaa viwili machoni kwa zaidi ya masaa 6.
Hukamatwi na kufungwa kwenye mti na kupigwa kama mwizi.
Mioyo yetu inavuja damu, Mungu wetu ni mwema AMETUVUSHA”
– Amezungumza Kijana Joseph Mwita aliyekuwa Amepewa Kesi ya Uhaini na DPP kumfutia Mashitaka
NB:-Kama huja follow akaunti yetu follow ili uweze kupata habari nyingi zaidi pia usisahau ku bonyeza kikengere ili kupata notification pindi habari zinapopostiwa
::
#standupcomedy #tanzaniatalent #talent #wcb4life #wemasepetu #hiiniyetusote #watapatabusana#diamondplatnam #shilawadu #soudybrown #millardayoupdates #kondeboy #wasafitv #thisisnigeria #millardayo #daudatransferupdates #simbasc #jeshi #diamondplatnumz #nigeria #kondegang #bangokubwaaa #udakuspecial #cloudstv#eplusmedia