Marekani kwenye ujumbe wao wanasema kuwa vitendo vya hivi karibuni vya serikali ya Rais Samia vimeweka hatarini maslahi yake

Wengi tunafikiri kuwa ni yale yaliojiri October 29 ?
Na kama ni yale sasa maslahi ya Marekani ni yapi ?

Au Tuseme kuwa Marekani inatupenda sana raia wa Tanzania mnooo na maslahi yao ni pamoja na uchaguzi huru na wa haki?

Alafu kabla ya hii tarifaa jamaa walitoa taarifa kuwa kuanzia December 5 huenda hali isiwe nzuri na wakaonya raia wao!!!

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *