SK2 / S02S9 Desemba 2025

Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Nchini Tanzania katika maeneo mbali mbali ya taifa hilo hali inaripotiwa kuwa kimya / Waziri wa mambo ya kigeni wa Burundi amesema nchi yake haitoendelea kunyamaza ikiwa Rwanda itaendelea kushambulia ngome za vikosi vya Burundi vilivyopelekwa kusimamia amani mashariki mwa DRC.

https://p.dw.com/p/550Tt

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *