9 Desemba 2025

Waasi wa M23 waukaribia mji wa Uvira huku wanajeshi wa Kongo wakikimbilia Burundi. Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky akutana na washirika wake wa Ulaya mjini London. Tanzania yapiga marufuku maandamano ya leo na kuwataka raia kusalia majumbani mwao.

https://p.dw.com/p/54zP9

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *