“Stick mjanja mjanja sana” – Maneno ya @kobisi_kikala_ akimzungumzia mwandaaji wa tamthilia ya #PichaYangu, @stickmotela namna alivyochagua mandhari ya Lushoto kuwa sehemu ya kazi yake.
Usikose kutazama #PichaYanguSeries kila Jumatatu – Alhamisi saa 1:30 usiku #SinemaZetuHD pekee.