
Droni zimewaua raia zaidi ya 100 Sudan tangu Disemba 4: Umoja wa Mataifa
Watu wasiopungua 104 wameuawa, ikiwemo watoto 43, katika mashambulizi mbalimbali eneo la Kordofan nchini Sudan tangu Disemba 4, ofisi ya Umoja wa Mataifa kuhusu haki za binadamu ilisema siku ya Jumanne.