Majaji wa Mahakama ya Hong Kong waliamua jioni ya Jumatatu (Disemba 15) kwamba Lai, mwenye umri wa miaka 78, ana hatia ya kula njama na wenzake kwa kushirikiana na wageni kuhatarisha usalama wa taifa na kuchapisha makala za uchochezi.

Lai, aliyekamatwa kwa mara ya kwanza Agosti 2020 chini ya sheria kali ya usalama iliyoanzishwa na utawala wa Beijing, amekuwa akina makosa hayo.

Kwa muda wa miaka mitano, mpiganiaji huyo wa demokrasia amekuwa kizuizini, sehemu kubwa zaidi akiwa ametengwa, huku familia yake ikisema afya yake imekuwa ikidorora kwa haraka.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *