Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) imeandaa mpango wa rasimu za kanuni za usimamizi wa madhara ya uchovu kwa madereva ili kukabiliana na ajali za barabarani.

Joseph Mpangala ameandaa taarifa ya kina.

#AzamTVUpdates
Mhariri | @moseskwindi

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *